Hongereni serikali kwa kuinyoosha CWT

Hongereni serikali kwa kuinyoosha CWT

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
Kama mnavyojua hakuna chama cha hovyo kuwahi kutokea duniani kama hiki chama Cha walimu Tanzania (CWT)
Zaidi ya kuwakata walimu 2% ya mshahara
Kisha kuwaletea tisheti na kofia Kila mwaka hakuna kingine Cha maana kilifanya,

Wakati wa Raisi Magufuli aliibua hoja kuhusu hiki chama ikiwemo kuuliza kuhusu mapato na matumizi,
Juzi hapa viongozi wake wakateuliwa kuwa wakuu wa Wilaya lakini baada ya kuona "Hela za bwerere" huko CWt wakakataa kwenda,

Sasa serikali ikaona ipige pale pale kwenye mshono,

Ikajitoa katika kuwatetea CWT, na Sasa walimu zaidi ya 1000 kwa miezi hii miwili tu tayari wamefanikiwa kujitoa katika chama hicho!

Na pia Kuna tetesi kuwa makato ya 2% yatasitishwa kwa wote mpaka pale taarifa itakapotolewa!
Kwasasa viongozi Wa CWT wanahaha, huku wakipita na tisheti mashuleni wao wenyewe na fomu ili kuwarubuni walimu wasitoke!
 
Kama mnavyojua hakuna chama cha hovyo kuwahi kutokea duniani kama hiki chama Cha walimu Tanzania (CWT)
Zaidi ya kuwakata walimu 2% ya mshahara
Kisha kuwaletea tisheti na kofia Kila mwaka hakuna kingine Cha maana kilifanya,

Wakati wa Raisi Magufuli aliibua hoja kuhusu hiki chama ikiwemo kuuliza kuhusu mapato na matumizi,
Juzi hapa viongozi wake wakateuliwa kuwa wakuu wa Wilaya lakini baada ya kuona "Hela za bwerere" huko CWt wakakataa kwenda,

Sasa serikali ikaona ipige pale pale kwenye mshono,

Ikajitoa katika kuwatetea CWT, na Sasa walimu zaidi ya 1000 kwa miezi hii miwili tayari wamefanikiwa kujitoa katika chama hicho!

Na pia Kuna kuwa makato ya 2% yatasitishwa kwa wote mpaka pale taarifa itakapotolewa!
Kwasasa viongozi Wa CWT wanahaha, huku wakipita na tisheti mashuleni wao wenyewe na fomu ili kuwarubuni walimu wasitoke!
Tamko la serikali liko wapi?

Maana hata Mimi sikuwahi kujaA TUF 6 ya kujiunga ila nakatwa kibabe, wanachoita Ada ya uwakala
 
Lakin nadhani Kuna namna serikali inaifaid hii michango Kwa kuwakandamiza walimu wetu sio bure
 
Kama mnavyojua hakuna chama cha hovyo kuwahi kutokea duniani kama hiki chama Cha walimu Tanzania (CWT)
Zaidi ya kuwakata walimu 2% ya mshahara
Kisha kuwaletea tisheti na kofia Kila mwaka hakuna kingine Cha maana kilifanya,

Wakati wa Raisi Magufuli aliibua hoja kuhusu hiki chama ikiwemo kuuliza kuhusu mapato na matumizi,
Juzi hapa viongozi wake wakateuliwa kuwa wakuu wa Wilaya lakini baada ya kuona "Hela za bwerere" huko CWt wakakataa kwenda,

Sasa serikali ikaona ipige pale pale kwenye mshono,

Ikajitoa katika kuwatetea CWT, na Sasa walimu zaidi ya 1000 kwa miezi hii miwili tu tayari wamefanikiwa kujitoa katika chama hicho!

Na pia Kuna tetesi kuwa makato ya 2% yatasitishwa kwa wote mpaka pale taarifa itakapotolewa!
Kwasasa viongozi Wa CWT wanahaha, huku wakipita na tisheti mashuleni wao wenyewe na fomu ili kuwarubuni walimu wasitoke!
Kikapu kimetoboka
 
Bado wengi hawajaamka wakachukua hatua za kukimbia unyonyaji wa hao jamaa wanaogombea uongozi kila iitwapo leo ili kuendelea kujilia mikate ya wanyonge.
 
Walimu wanashangilia chama chao kudhoofishwa nguvu na serikali???

Walimu wa nchi hii ni specie tofauti kabisa na walimu wa mataifa mengine.
 
Na hata chama Chao Cha CWT ni special Dunia nzima hakuna chama Cha hovyo kama hichi
Wanatakiwa kukisimamia kibadilike lakini siyo kushangilia kikishughulikiwa na serikali.

Workers union zikidhoofishwa na serikali wafanyakazi wanakuwa watumwa, na hakuna wa kuwatetea.
Mbona kipindi cha kina Mkoba kilikuwa active kupigania maslahi ya walimu kuliko union zote nchini ?
 
Wanatakiwa kukisimamia kibadilike lakini siyo kushangilia kikishughulikiwa na serikali.

Workers union zikidhoofishwa na serikali wafanyakazi wanakuwa watumwa, na hakuna wa kuwatetea.
Mbona kipindi cha kina Mkoba kilikuwa active kupigania maslahi ya walimu kuliko union zote nchini ?
eiza wewe ni mfanyakaz wa hiko chama au.....so mi naona viundwe vyama vingine na watu wa chague wenyewe ili kuleta ushindani hiki chama sitokisahau kilipo mpunja mzee wangu badala apate m150 wakampa 70 amefuatilia saiz mwaka wa 9 na hakuna kinacho endelea kama
 
Ni uhuni wanafanya nenda kwa afisa utumishi wako jitoe
Sheria ya Ajira na mahusiano kazini inatoa mwanya huo wa kukata hata Kama siyo mwanachama.


Sasa ukikuta DHRO au Afisa Utumishi na yeye ni mnufaika inakuwa ngumu sana kujitoa.

Serikali ingekuwa na Nia ingebadili hii sheria, maana ni ya kiuonevu sana.
 
Back
Top Bottom