msolopaganzi1954
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 763
- 379
Me ni mshabiki name mwanachama wa Yanga SC, but nilipata wasaa wa kwenda Taifa na kuangalia game ya Simba na NKANA, dah Nimejifunza mengi Sana,
..moja, Mpira ni BIASHARA NZURI SANA UKIIJULIA,
..pili, Mpira ni uwekezaji
..tatu, mpira Ni burudani
..nne, mpira ni Faraja bekee kwa watu masikini
..tano, Mpira umfanya mtu asahau matatizo yake kwa muda Flan.
..Sita, Investment ni kitu muhimu katika mpira.
..Saba, umuhimu ya Wachezaji wa nje BORA katika Team...
NB :NILIANGALIA kipenzi zaidi na Si kinazi Zaidi, Hakika,Simba Wana Team bora Sana Katika hii miaka 10 iliyopita.
Tatizo lakufanyiwa marekebisho kidogo ila ya muhimu.
Moja, namba mbili na Tatu pako UCHI, pia BOCCO OUT, waweke Jitu pale la kutupia,
PERIOD
..moja, Mpira ni BIASHARA NZURI SANA UKIIJULIA,
..pili, Mpira ni uwekezaji
..tatu, mpira Ni burudani
..nne, mpira ni Faraja bekee kwa watu masikini
..tano, Mpira umfanya mtu asahau matatizo yake kwa muda Flan.
..Sita, Investment ni kitu muhimu katika mpira.
..Saba, umuhimu ya Wachezaji wa nje BORA katika Team...
NB :NILIANGALIA kipenzi zaidi na Si kinazi Zaidi, Hakika,Simba Wana Team bora Sana Katika hii miaka 10 iliyopita.
Tatizo lakufanyiwa marekebisho kidogo ila ya muhimu.
Moja, namba mbili na Tatu pako UCHI, pia BOCCO OUT, waweke Jitu pale la kutupia,
PERIOD