Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,839
Kusoma ni safari ndefu inayohitaji uvumulivu, nidhamu na kujitoa! Lakini mwishowe hayo yote huwa historia badala yake ni sherehe tu kama ilivyo siku ya leo kwa baadhi ya wanafunzi wa sekondari na vyuo vikuu hapa nchini!
Nachukua nafasi kuwapongeza sana na kuwatakia sherehe njema huku mkikumbuka kuwa hapo ndo mwanzo tu bali mjiendeleze zaidi na mje kututumikia sisi watz kama mlivyofundishwa!
Congratulations
Nachukua nafasi kuwapongeza sana na kuwatakia sherehe njema huku mkikumbuka kuwa hapo ndo mwanzo tu bali mjiendeleze zaidi na mje kututumikia sisi watz kama mlivyofundishwa!
Congratulations