Sijawah kufanya graduation katika maisha yangu ya kusaka elim,ila siku nilokua namaliza mtihani wangu wa mwisho wa shahada ya kwanza nililia kwa furaha,siwez kuielezea furaha ya siku hiyo,,,,
I wish in shaa llah ALLAH akijaalia nitahudhuria mahafali ya SHAHADA YA PILI PALE MLIMANI CITY,
mwanangu we kama mimi 2 digrii ctofanya graduation mpaka masterz ambayo ndo ntakuwa naiacha tanzania
Watu wanafanya party za kufa mtu halafu akija mtaani msoto wa maanaa