Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha iaa (institute of accountancy arusha) BEF (bachelor of economics and finance) first year, naombeni ushauri sijui baada ya kumaliza chuo ntafanya wapi kazi na pia naombeni ushauri juu ya kufanya part time work huku nasoma, ntashukuru sana kama mtanisaidia mapema.ahsante