utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Jana usiku nilisikis channel ten ikionyesha ushindi wa dewj singida mjini,ila nimefurahishwa kwa chadema kupata asilimia karibu 30!% huu ni mwamko mkubwa kwa wanasingida kuacha ushamba wa kutafuta wafadhili badala ya viongozi .maendeleo ya kweli yataletwa nanyi mkisaidiwa na wanyiramba!
wajifya...
Atakayemng'oa Mo Singida mjini inabidi ajiandae sana kuliko kawaida!!