Hoodiii

Je wew ni wakiume au wa kike, nakumbuka enz hzo pale university of dsm

Tulikua tunaandaaa bash, unakuta wanaume wanakua weng sana club kuliko wakike

Hawa wakiume tulikua tukiwaita mamba.. Unakuta dem m1 anabambiwa na mamba zaid ya wa4,..

Maana yangu ni kwamba tunahamasisha sana watoto wakike wajiunge na Jf sabab mamba ni wengi sana kuliko,..
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…