caputein
Member
- Jan 17, 2014
- 72
- 9
Waungwana,hasa wale walolewa ktk makuzi ya kiafrika,yenye mila na destur poa..haswa watanzania wenzangu,ambapo ukiwa na shida hauulizwi kabila lako nan,bal utaxaidiwa kwanza stor baadae..!
huwa wakifika kwenye kasri ya mtu lazma apige Hodi,akaribishwe..ndipo aendelee na yake..!
nam nkiwa miongon mwa hao,jembe lililotokea mkoa mpya,nchi ya ahad..yenye asali na maziwa,wengine wanaiita half london,kwa barid murua na upepo wa kchokoz..ambapo wakazi wake chai ndo abari ya mjin na juice mbwembwe 2, Njombe,naji2pa JF nkiwa pande tofaut nikisaka minoti...bila kuangalia historia,na Mungu yu mwema anazid ku2pa mema..
huwa wakifika kwenye kasri ya mtu lazma apige Hodi,akaribishwe..ndipo aendelee na yake..!
nam nkiwa miongon mwa hao,jembe lililotokea mkoa mpya,nchi ya ahad..yenye asali na maziwa,wengine wanaiita half london,kwa barid murua na upepo wa kchokoz..ambapo wakazi wake chai ndo abari ya mjin na juice mbwembwe 2, Njombe,naji2pa JF nkiwa pande tofaut nikisaka minoti...bila kuangalia historia,na Mungu yu mwema anazid ku2pa mema..