Elections 2010 Hooray...Arusha Imeshakombolewa!

Wakuu kuna watu tulikuwa na kamjadala jana kwenye laga zetu aste aste!!

Nashangaa kuna watu bado wanaamini CCM itashinda tena kwa asilimia 65%!! Duh!

Jamani twendeni hiyo SUNDAY bila hiyana tupabadilishe uongozi!!!
 
baada ya mimi kumchagua DK SLAA,HALIMA MDEE,NA DIWANI WAO WA CHADEMA nitakuwa hapo JJ namshughulikia yule ''mdudu'' na grants kwa wingi sana:smile-big:

KARIBU SANA
Moyo wangu waumia sana kwakuwa niko mbali, amakwahakika ningekuunga mkono ndugu kwa 100%
 
hatudanganyiki,tuhamasishane tukapige kura tuikomboe nchi yetu.
 

kaka huu mziki ni soo.
Jamaa hawalali ni vikao kwa kwenda mbele hadi milango ya nane nane ,tisa usiku wanapanga nini wafanze kujinasua na hili gharika!!
matokeo ndo kama hayo ya prof Majembe ooh Magembe kufkia kuropoka hovyo.
 
Siku ya ahadi imefika kwa watanzania..

Chagua dr. Slaa - raisi wa jamuhuri ya muungano wa tanzania

chagua godbless lema - ubunge arusha mjini

chagua estomih malla - diwani kimandolu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…