hormonel imbalañce

josemaro

Member
Joined
Jul 14, 2018
Posts
90
Reaction score
61
homornal imbalance kwa wanaume husabàbishwa na nn dalili na tiba zake zinakuwaje??
 
Embu ungeeleza vzr kilichokukuta umeota maziwa au una dalili gani tukusaidie.
 
homornal imbalance kwa wanaume husabàbishwa na nn dalili na tiba zake zinakuwaje??
Kuna binti mmoja rafiki yangu ana tatizo hili aliambiwa akizaa tatizo litaisha na aliambiwa atumie supplements, kwa mwanaume sijui pia hadi azalishe ndio tatizo linaisha sijui.

Maybe wanakujenga psychologically kwamba wewe uko poa unaweza fanya kazi kike au kiume ukafeel u mwanamke au mwanaume kweli.

Ingawa nothing impossible under the sun now days.

Ngoja wataalamu waje!
 
Embu ungeeleza vzr kilichokukuta umeota maziwa au una dalili gani tukusaidie.
no sio kwamb nimeota maziwa hapa ika najihis sipo powa tu even i. sex naweza enda had bao 7 lakin kil bao nisimalize dakika 2 ndo nikaenda kupima nikaambiwa nina ta5iz hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…