Hosea aligeuzia Bunge kibao


Ndio maana umekuwa HERO kwa vijana wa kiTanzania...uko fair katika kila issue hata kama inakugusa wewe personally.
In my opinion naona PCCB waachiwe watimize wajibu wao na wabunge hawana immunity ya kushitakiwa iwapo watatenda criminal offence. And after all wao ndio wanaoisimamia serikali hivyo wanatakiwa wawe wasafi ili waweze kuisimamia serikali vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…