Kutumia zaidi ya shs millioni 700 kwa ajili ya majengo ya Takukuru is pure farcical na loss of taxpayers money.
Lindi kuwa na jengo la TAKUKURU ni matusi kabisa.Wananchi wa Lindi wangepewa pesa hizo kujenga shule na zahanati.Ufisadi kila mtu anajua unaanzia kwenye govt bodies!
Kama tungekuwa na competent auditors,accountants,bankers yote haya yasingetokea.Lakini kuna COLLUSION
katika ngaji za juu za chama na serikali,.
I have stopped to be fooled by these morons!