Hospital gani hapa bongo wanafanya operation za gyno

mbwewe

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
3,267
Reaction score
3,404
Wakuu naomba kujua hospital hapa bongo wanafanya operation za kuondoa gyno kwenye matiti ya mwanaume na ningefurahi kama nitajua na gharama.
 
Yana shida gan jaman....
Matatizo haya
 
Nenda India mzee hii ni plastic surgery inahitaji umakini/uzoefu otherwise unaweza ukaharibika zaidi.
 
Mkuu hospitali kibao zinafanya hiyo procedure.

Kwa kukurahisishia tu nenda TUMAIN hospital wanafanya omba kuonana na Dr Ngiloi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…