M mbwewe JF-Expert Member Joined Sep 10, 2014 Posts 3,267 Reaction score 3,404 Jan 6, 2017 #1 Wakuu naomba kujua hospital hapa bongo wanafanya operation za kuondoa gyno kwenye matiti ya mwanaume na ningefurahi kama nitajua na gharama.
Wakuu naomba kujua hospital hapa bongo wanafanya operation za kuondoa gyno kwenye matiti ya mwanaume na ningefurahi kama nitajua na gharama.
MankaM JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 9,448 Reaction score 3,065 Jan 6, 2017 #2 Yana shida gan jaman.... Matatizo haya
Kang JF-Expert Member Joined Jun 24, 2008 Posts 5,655 Reaction score 2,506 Jan 6, 2017 #3 Nenda India mzee hii ni plastic surgery inahitaji umakini/uzoefu otherwise unaweza ukaharibika zaidi.
Nenda India mzee hii ni plastic surgery inahitaji umakini/uzoefu otherwise unaweza ukaharibika zaidi.
jimmyfoxxgongo JF-Expert Member Joined Jan 23, 2013 Posts 5,352 Reaction score 9,329 Jan 7, 2017 #4 Mkuu hospitali kibao zinafanya hiyo procedure. Kwa kukurahisishia tu nenda TUMAIN hospital wanafanya omba kuonana na Dr Ngiloi
Mkuu hospitali kibao zinafanya hiyo procedure. Kwa kukurahisishia tu nenda TUMAIN hospital wanafanya omba kuonana na Dr Ngiloi