Hospital gani nzuri ya mifupa kwa hapa Dar es Salaam?

Hospital gani nzuri ya mifupa kwa hapa Dar es Salaam?

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Habari

Naomba kuuliza kwa hapa Dar ni hospital gani binafsi nzuri ya mifupa ambapo doctor anapatikana kila siku kwa maana kuanzia jumaatatu hadi jumaamosi?

Asante.
 
hospitali inayotoa mazoezi ya viungo, mifupa (physiotherapy) au kuwekewa vyuma au kukata mfupa??
 
Back
Top Bottom