Hospital nzuri ya wagonjwa wa kisukari

King_Villa

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
575
Reaction score
380
Habari wakuu,

Mzazi wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa sukari moyo na figo …kwa siku za karibuni hali imezidi kubadilika anashindwa hata kutembea ,,akila pia anatapika...

Nimefikia hatua ya kubadilisha hospitali labda madaktari wanatofautiana tratment na ujuzi

Kwa anaejua hospitali naomba tujuzane au mwenye ushauri zaidi..

Asanteni
 
Wanakuja wenye ufahamu wasubiri
Pole Kwa uguliwa na mzee wako.
 
Mkuu utamaliza Hospitali kwa hayo maradhi yote hawezi kupona mzazi wako kwani hakuna dawa ya kutibu maradhi ya kisukari Moyo na figo katika hizo Hospitali na ukifanya mchezo utaweza kumpoteza mzazi wako. Mimi ninaweza kumtibia mzazi wako na akapona kwa dawa zangu za asili ukihitaji matibabu toka kwangu nitafute kwa wakati wako auguwe pole mzazi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…