Hospital ya Cardinal Rugambwa Ukonga ina gynecologist?

Nairart

Member
Joined
May 13, 2019
Posts
22
Reaction score
36
Habari wakuu. Je hospital ya Cardinal Rugambwa ina daktari wa magonjwa ya wanawake. And je wanakubali bima ya NHIF?
 
Habari wakuu. Je hospital ya Cardinal Rugambwa ina daktari wa magonjwa ya wanawake. And je wanakubali bima ya NHIF?
Kadi za Nhif wanapokea ila kuhusu daktari wa magonjwa ya kinamama sina hakika nalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…