DOKEZO Hospital ya Chaula Vwawa mkoa wa Songwe wanatoa vipimo vya uongo

DOKEZO Hospital ya Chaula Vwawa mkoa wa Songwe wanatoa vipimo vya uongo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,417
Reaction score
6,149
Habali ya jumapili wanabodi,

Napenda kutoa hii taarifa kuhusu hospital ya private ya CHAULA iko Songwe Vwawa. Ukimpelekea mgonjwa wanawapa majibu ya uongo tena magonjwa makubwa ili mtishike haswaa na kuanza kumpa huduma wapate pesa.

Kuna mwanamke alikuwa mjamzito alipoenda pale kupima ultrasound akaambiwa mtoto amekaa vibaya ametanguliza miguu badala ya kichwa hivyo wanaweza mpoteza mama na mtoto kumbe ni uongo, pia kuna mgonjwa alienda kupima pale akaambiwa Figo zimefeli kumbe hakuna kitu.

Kubwa kuliko ni wiki hii tumempeleka mgonjwa wetu pale wakampima x ray majibu wakasema mgonjwa wetu ana saratani kwenye mapafu wakaanza kumtibu na mitungi ya gesi juu tunalipia baada ya kumhamisha hapo tukampeleka hospital nyingine alivyopimwa kumbe anamaji kwenye mapafu, sasa hivi amepewa dawa za kupunguza maji anaendelea vizuri kabisa.

Nitoe rai kwa viongozi wa Mkoa hii hospitali muitazame sana ni waongo mno madaktari wa pale.
 
Mamlaka ya mkoa itafuatilia. Naamini taarifa hii itamfikia Rc Mheshimiwa Chongolo ili aunde kamati ya uchunguzi ikiongozwa na wataalamu mbalimbali wa afya.
 
Kumezuka michezo michafu kwenye hizi Taasisi binafsi za Afya hasa kwa wanawake wajawazito kuzushiwa kua mtoto amakaa vibaya lengo ni kutisha na kukatisha tamaa mwanamke asijifungue kawaida Ili wamfanyie Operation kwa gharama kubwa sana,hii yote inasababishwa na tamaa ya fedha,

Wanawake nao hawashtukii huu mchezo utakuta mtoto wa kwanza mpaka wa tatu ulizaa kawaida ila wa tatu ndio haiwezekani na wakati huna historia ya matatizo yoyote!

Huu utapeli sijui kwanini wizara ya Afya hawaufanyii uchunguzi!
 
  • Thanks
Reactions: apk
Kumezuka michezo michafu kwenye hizi Taasisi binafsi za Afya hasa kwa wanawake wajawazito kuzushiwa kua mtoto amakaa vibaya lengo ni kutisha na kukatisha tamaa mwanamke asijifungue kawaida Ili wamfanyie Operation kwa gharama kubwa sana,hii yote inasababishwa na tamaa ya fedha,

Wanawake nao hawashtukii huu mchezo utakuta mtoto wa kwanza mpaka wa tatu ulizaa kawaida ila wa tatu ndio haiwezekani na wakati huna historia ya matatizo yoyote!

Huu utapeli sijui kwanini wizara ya Afya hawaufanyii uchunguzi!
Hatari sana inabidi wizara iingilie kati
 
Hivi ukifanya vipimo vya ultra au ct scan unauwezo wa kuchezea ili majibu yaToke ndivyo sivyo
Maana tunajuwa kila baada ya kufanya vipimo ku a report unapewa ambayo iko printed

Oba
 
Habali ya jumapili wanabodi,

Napenda kutoa hii taarifa kuhusu hospital ya private ya CHAULA iko Songwe Vwawa. Ukimpelekea mgonjwa wanawapa majibu ya uongo tena magonjwa makubwa ili mtishike haswaa na kuanza kumpa huduma wapate pesa.

Kuna mwanamke alikuwa mjamzito alipoenda pale kupima ultrasound akaambiwa mtoto amekaa vibaya ametanguliza miguu badala ya kichwa hivyo wanaweza mpoteza mama na mtoto kumbe ni uongo, pia kuna mgonjwa alienda kupima pale akaambiwa Figo zimefeli kumbe hakuna kitu.

Kubwa kuliko ni wiki hii tumempeleka mgonjwa wetu pale wakampima x ray majibu wakasema mgonjwa wetu ana saratani kwenye mapafu wakaanza kumtibu na mitungi ya gesi juu tunalipia baada ya kumhamisha hapo tukampeleka hospital nyingine alivyopimwa kumbe anamaji kwenye mapafu, sasa hivi amepewa dawa za kupunguza maji anaendelea vizuri kabisa.

Nitoe rai kwa viongozi wa Mkoa hii hospitali muitazame sana ni waongo mno madaktari wa pale.
Huyo Chaula mapichapicha sana. Hivi biashara ya mabasi (Ilasi) ndo aliacha kabisa?
 
H
Habali ya jumapili wanabodi,

Napenda kutoa hii taarifa kuhusu hospital ya private ya CHAULA iko Songwe Vwawa. Ukimpelekea mgonjwa wanawapa majibu ya uongo tena magonjwa makubwa ili mtishike haswaa na kuanza kumpa huduma wapate pesa.

Kuna mwanamke alikuwa mjamzito alipoenda pale kupima ultrasound akaambiwa mtoto amekaa vibaya ametanguliza miguu badala ya kichwa hivyo wanaweza mpoteza mama na mtoto kumbe ni uongo, pia kuna mgonjwa alienda kupima pale akaambiwa Figo zimefeli kumbe hakuna kitu.

Kubwa kuliko ni wiki hii tumempeleka mgonjwa wetu pale wakampima x ray majibu wakasema mgonjwa wetu ana saratani kwenye mapafu wakaanza kumtibu na mitungi ya gesi juu tunalipia baada ya kumhamisha hapo tukampeleka hospital nyingine alivyopimwa kumbe anamaji kwenye mapafu, sasa hivi amepewa dawa za kupunguza maji anaendelea vizuri kabisa.

Nitoe rai kwa viongozi wa Mkoa hii hospitali muitazame sana ni waongo mno madaktari wa pa


Hawa mafisi ni wauaji kabisa!
 
Kumezuka michezo michafu kwenye hizi Taasisi binafsi za Afya hasa kwa wanawake wajawazito kuzushiwa kua mtoto amakaa vibaya lengo ni kutisha na kukatisha tamaa mwanamke asijifungue kawaida Ili wamfanyie Operation kwa gharama kubwa sana,hii yote inasababishwa na tamaa ya fedha,

Wanawake nao hawashtukii huu mchezo utakuta mtoto wa kwanza mpaka wa tatu ulizaa kawaida ila wa tatu ndio haiwezekani na wakati huna historia ya matatizo yoyote!

Huu utapeli sijui kwanini wizara ya Afya hawaufanyii uchunguzi!
Hizo hospilali za hao watu wa Afya wenyewe na viongozi wa nchi je nani atafuatilia wakati wanaogopana, Tuvumilie Tu mpaka sisim itakapo pinduliwa madarakani Ahsante.
 
Hivi ukifanya vipimo vya ultra au ct scan unauwezo wa kuchezea ili majibu yaToke ndivyo sivyo
Maana tunajuwa kila baada ya kufanya vipimo ku a report unapewa ambayo iko printed

Oba
Ndipo hapo ninapomshangaa mleta mada
 
Hoja yako kuhusu vipimo vya uongo haijajitosheleza kabisa imekaa kimajungu majungu. Siku hizi layman wa taaluma ya afya ni much know.
 
Hivyo vihospital ukienda lazima wakupachike ugonjwa tu ili uache hela.
 
Back
Top Bottom