BABA BOMBASTIC
Senior Member
- Jul 10, 2024
- 146
- 246
Hivi unapopima kwenye mshipa mkubwa wa damu mkononi unacheki magonjwa gani? Nimeenda na mtoto kumpima eti kila kipimo kina bei yake, maana nimeenda kumpima U.T.I, Typhoid na Malaria
Je kila kipimo hapo juu kinapimwaje ni lazima kihusishe damu tu?
Je kila kipimo hapo juu kinapimwaje ni lazima kihusishe damu tu?