Hospitali gani hapa Dar es salaam kuna wataalamu wa matatizo ya kifua?

Hospitali gani hapa Dar es salaam kuna wataalamu wa matatizo ya kifua?

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Habari waheshimiwa!
Nina tatizo la kifua la muda mrefu saaana, nimekwenda hindu mandari lakin kila Dr. anasema lake, mara na dalili za pumu, huyu anasema na dalili za "Nimonia" sasa nataka kubadilisha hospitali ili niweze kupata majibu sahihi.

UGONJWA WANGU UKOJE

Nimekuwa na patwa na kifua kikali nyakati za usiku TUU, nakohoa kikohozi kile kinacho toa sauti kubwa kikiambatana na makohozi, mara nyingi yanakuwa ya maji na wakati fulani yankuwa ya yakawaida, KIFUA KINATOA SAUTI KAMA MILUZI NA MKOROMO kikiambatana na maumivu makali.

Nlisha fanya xray kama mara 3 lakini wanasema kila kitu ni sawa.

ASANTENI
 
Unaumwa kwa mda gan ss
Ushawahi kutumia dawa kwa ajili ya pneumonia au pumu ukaona hali inakuaje
Nenda tumaini hosp pale kunakuaga na maphysician wazuri tuu
 
Hiyo ni PUMU (ASTHMA) mkuu utamaliza hospitali zote bila tiba sahihi. Mimi mwenyewe nilikuwa muhanga wa ugonjwa huu dhaifu kwa kupona na hatari kwa maana ya kupoteza maisha iwapo hutazingatia tiba halisi kwa muda sahihi!
Nataka nikuponyeshe kabisaa hili halina uzushi hata chembe!
Ahidi kitu endapo utapona ndani ya wiki utatoa pesa kiasi gani. Mimi ntakupa guarantee ya miaka mitatu ikiwa ugonjwa utakurudia katika mazingira ya kawaida basi utanidai mara3 ya dau lako.

Ninao mashuhuda wengi humu na nje ya hapa kuhusu maajabu ya uponyaji!

Tuwasiliane 0785018611.

Onyo: Usitumie madawa ya kupulizia oxygen ni hatari sana kwani utajijengea usugu wa kupona kwako.

Wahi sasa wakati ndio huu!
 
Hiyo ni PUMU (ASTHMA) mkuu utamaliza hospitali zote bila tiba sahihi. Mimi mwenyewe nilikuwa muhanga wa ugonjwa huu dhaifu kwa kupona na hatari kwa maana ya kupoteza maisha iwapo hutazingatia tiba halisi kwa muda sahihi!
Nataka nikuponyeshe kabisaa hili halina uzushi hata chembe!
Ahidi kitu endapo utapona ndani ya wiki utatoa pesa kiasi gani. Mimi ntakupa guarantee ya miaka mitatu ikiwa ugonjwa utakurudia katika mazingira ya kawaida basi utanidai mara3 ya dau lako.

Ninao mashuhuda wengi humu na nje ya hapa kuhusu maajabu ya uponyaji!

Tuwasiliane 0785018611.

Onyo: Usitumie madawa ya kupulizia oxygen ni hatari sana kwani utajijengea usugu wa kupona kwako.

Wahi sasa wakati ndio huu mkuu Bakulutu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom