manSniper JF-Expert Member Joined Sep 9, 2015 Posts 814 Reaction score 680 Mar 31, 2016 #1 Naomba kujuzwa hospitali inayopima maswala ya uzazi kwa wanaume na wanawake kwa mkoa wa Dar na Pwani. Je gharama za vipimo ni kiasi gani?
Naomba kujuzwa hospitali inayopima maswala ya uzazi kwa wanaume na wanawake kwa mkoa wa Dar na Pwani. Je gharama za vipimo ni kiasi gani?