Hospitali gani naweza kufanyiwa operation bila kuchanwa(Laparoscopy)?

Operation gani ya ndani ufanyiwe bila kuchana? Nadhani ukifanikiwa kuipata utahitaji hata ukifa usioze, subiri wapo watakuja wataalam.
Utaalamu huo upo,hapa hapa Tanzania,nna mashahidi waliofanyiwa
 
Operation gani ya ndani ufanyiwe bila kuchana? Nadhani ukifanikiwa kuipata utahitaji hata ukifa usioze, subiri wapo watakuja wataalam.
Zipo ndugu yangu
 
Pole sana,sijui kama mambo haya yanafanyika hapa nchini,ila nakumbuka ndugu yangu aliwahi fanyiwa operation kama hiyo ila ilikuwa ni ya tezi dume nje ya nchi.
Tanzania hapa wanafanya
 
Cha msingi kupona tu kuogopa kuchanwa au makovu visikutishe na hata hivyo siku hizi mabadiliko ni makubwa hata ukichanwa hawachani sehemu kubwa sana usiogope

Pole sana lakini Mungu akusaidie operation iende salama na upone kabisa
Asante kwa kunitiaoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…