uwesuporoto
Senior Member
- Jun 2, 2017
- 116
- 58
- Thread starter
-
- #21
Majibu ya dokta hayo
Zingatia huu ushauri utapona kwani hata mimi yalinikuta ayo...ila hospitali za private na ilinigharima kama laki moja na thelathini na mkewangu ilimgharimu elfu themanini na sita.Huo uchafu unapaswa kuchuliwa swab ipelekwe lab.
Anahitaji zaidi ushauri msaidieni bwanaa ππππHospitali siyo Sipitali
We nitembelee private nikuchome OTC 20% ya Ng'ombe utakuwa sawa...
Ila usirudie kucheza peku na malaya...
Niliipoiweka picha moja kwa moja huku ilikataa ndipo nikaamua kuipost fb alafu nikaicopy link na kuipest huku. Maana situmii jf app bali natumia kwa freebasics
Ha ha ha upo serious mkuu?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Niliipoiweka picha moja kwa moja huku ilikataa ndipo nikaamua kuipost fb alafu nikaicopy link na kuipest huku. Maana situmii jf app bali natumia kwa freebasics