Hospitali inayotibu vidonda kwa wenye Kisukari

Hospitali inayotibu vidonda kwa wenye Kisukari

laut

Member
Joined
Feb 6, 2013
Posts
28
Reaction score
4
Wana Jf naomba msaada wa Hospitali inayoweza kutibu kidonda cha mgonjwa wa Kisukari. Nina ndugu yangu ana ugonjwa wa kisukari na ana kidonda mguuni ambacho hakiponi
 
Kama upo Dar nenda kwa Dr Abbas maeneo ya fire. Ukitokea magomeni ingia kulia pale kwenye mataa ya fire nenda moja kwa moja. Hebu angalia hii link ina map kufika Abbas Medical Center. Abbas Medical Centre
 
Back
Top Bottom