Tetesi: Hospitali Kubwa na ya kisasa Kufunguliwa nchini Tanzania

stickvibration

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
3,226
Reaction score
5,147
HabariHospitali kubwa na ya Kisasa ya chuo kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MAMC) kufunguliwa na rais DK Magufuli mwezi ujao.Hospitali hii ipo Kibamba, Mloganzila, jijini Dar Es Salaam. Inategemewa kupunguza safari za watanzania kupata huduma za afya nje ya nchi. Ina huduma za kisasa za dharula(Emergency Medicine) Huduma za kisasa za uchunguzi wa Magonjwa (Maabara, Radiolojia) na Huduma za Upasuaji za Kisasa.HABARI/UPDATES KATIKA PICHA
 
Siku ya ufunguzi licha ya kusema ameongeza bajeti ya afya (hii yeye na waziri wake wanarudia kila uchao) lazima atatoa neno la shombo kama kawaida
 
Hizo ni jitihada za Kikwete,yafaa ipewe jina lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…