joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Masikini huwa hawawezi hata kunyoosha sentensi moja, kama weww hapa.Dah maskini akili zao za kijinga sana, sasa watakaa unamanisha nini?
Pole ya familia yakeDk amefariki kwa covid, ana miezi 5 hana salario, hana bima, amekufa hohehahe, familia kusulubikaView attachment 1644138
Iyo jina yako inasadifu.....nincompoopDah maskini akili zao za kijinga sana, sasa watakaa unamanisha nini?
Mpango wa extensions upo na itakua cardiac institute kubwa barani AfricaMY TAKE: Tuliwaambia majirani lazima watakaa, karibuni sana mje mjionee vile Tanzania tunavyopiga hatua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MY TAKE: Tuliwaambia majirani lazima watakaa, karibuni sana mje mjionee vile Tanzania tunavyopiga hatua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dk amefariki kwa covid, ana miezi 5 hana salario, hana bima, amekufa hohehahe, familia kusulubikaView attachment 1644138
Sio vizuri tu, haitoshi mkuu, tupo vizuri sanaaa, hakuna Nairobi Hospital, wala Karen Hospital inayogusa Muhimbili, Ocean Road au Mloganzila.Upande huu wa Afya Tupo Vizuri