Tip Master
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 505
- 560
Kwanza napenda kuwapongeza wana JF kwa roho safi ya kutoa msaada pasipo shuruti yoyote hile.
Mimi nina shida ya kupata mtoto nimetembea na wasichana tofauti pasipo hata kusingiziwa mimba,lakini hilo sikuona kama tatizo kutokana na sample za wasichana nilikua nadeal nao,
Sasa tatizo na wasiwasi ni baada ya kuoa binti ambaye sijui niseme ni bahati mbaya au nzuri maana nimemkuta tayari anamtoto,na sasa ni mwaka wa pili na hakuna hata dalili ya mimba,ameshaenda hospital kucheki mirija pmj na maeneo yote yahusuyo uzazi kwa mwanamke na amekutwa yupo sawa,.sasa tatizo direct naona Dr.kalipost kwangu.
Nipo chini yenu naombeni kwa yeyote mwenye uelewa ni hospitali gan yenye vipimo au Dr. mzuri kwa wanaume iliyopo kanda ya ziwa anipe taarifa.
NAWAKILISHA
Mimi nina shida ya kupata mtoto nimetembea na wasichana tofauti pasipo hata kusingiziwa mimba,lakini hilo sikuona kama tatizo kutokana na sample za wasichana nilikua nadeal nao,
Sasa tatizo na wasiwasi ni baada ya kuoa binti ambaye sijui niseme ni bahati mbaya au nzuri maana nimemkuta tayari anamtoto,na sasa ni mwaka wa pili na hakuna hata dalili ya mimba,ameshaenda hospital kucheki mirija pmj na maeneo yote yahusuyo uzazi kwa mwanamke na amekutwa yupo sawa,.sasa tatizo direct naona Dr.kalipost kwangu.
Nipo chini yenu naombeni kwa yeyote mwenye uelewa ni hospitali gan yenye vipimo au Dr. mzuri kwa wanaume iliyopo kanda ya ziwa anipe taarifa.
NAWAKILISHA