Tofalizito
JF-Expert Member
- Mar 28, 2020
- 343
- 1,267
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuvaoid matumiz mabaya ya barakoa
Sent from my iPhone using JamiiForums
sasa kwanini urudishe barakoa?Umejaribu kutafuta jibu la kwanini zinarudishwa au umekuja na mawazo yako tu ambayo bila shaka hayana ukweli
Zikirudishwa zinateketezwa.
Ndio akili ya "acting director" anyway labda wanazipasi kabla ya kuwapa wengine
Kama ni hivyo sawa. Walitakiwa wafafanue.
Hilo swali ndio ulitakiwa kutafutia majibu kabla ya kauweka heading yako hiyo... Wanarudisha hizo barakoa ili kuepuka matumizi mabaya ambapo wamehisi huenda watu wakarudia kuzitumia kutokana na uhaba wake au wakazitupa bila kuzingatia kanuni za usafi lakini pia wanataka kuziteketeza kwa kuzingatia kanuni za afya... According to wao
Simply wanataka wazidispose, wanajua mkirudi nazo majumbani mtarudia kuzivaa, Umeelewa?
Lengo hao wananchi wasiondoke nazo wasiende kusambaza Magonjwa mitaanSerious? Wakizirudisha wanazipeleka wapi au watagawiwa wengine tena?
Hapo sawa!Lengo hao wananchi wasiondoke nazo wasiende kusambaza Magonjwa mitaan
kama mtu kaitumia kwa nusu saa kwa nn asiachiwe aondoke nayoZikirudishwa zinateketezwa.
Wanazitumia kukusanya data kwa research zao pale za corona ili kujua ukweli wa hali ya corona MwanzaSerious? Wakizirudisha wanazipeleka wapi au watagawiwa wengine tena?
Elewa ndg. Swali lingejuwa, Kwa nn huyo mwananchi asiwe na barakoa yake toka nyumbani?
Ni utaratibu mzuri sana, kwani si kila mmoja anauwezo wa kununua. Pia mtu akiondoka nayo inaweza kuwa na maambukizi hivyo mtaani inaweza ikasambaza zaidi ugonjwa, ni bora ikibaki wao wana i dispose na wanafahamu how.Serious? Wakizirudisha wanazipeleka wapi au watagawiwa wengine tena?