Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Walioko huko Morogoro Turiani wilaya ya Mvomero watuthibitishie hii taarifa ya wafanyakazi wa hospitali hiyo wapatao 60 wamepunguzwa kazini.
Poleni sana ukiwa mfanyakazi unaisoma namba ukiondolewa kazini unaisoma namba mara laki tano.
Mitano Tena.
Poleni sana ukiwa mfanyakazi unaisoma namba ukiondolewa kazini unaisoma namba mara laki tano.
Mitano Tena.