KERO Hospitali ya mkoa Morogoro kuna huduma mbovu na uuzaji wa dawa bila utaratibu

KERO Hospitali ya mkoa Morogoro kuna huduma mbovu na uuzaji wa dawa bila utaratibu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Copro mtego

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
619
Reaction score
796
Jana nilikuwa nafanya mawasiliano na rafiki yangu aliyempeleka mama yake hospitali ya MKOA MOROGORO.
Aliyoniambia nilishangaa na kusikitisha sana

Kwanza mama alikuwa anaumwa tumbo ameharisha kweli alipewa drip (rl) lakini mtoto wa mgonjwa alilazimishwa kuinunua ilihali mgonjwa ana bima.

Mtoto huyo wa mgonjwa aliambiwa pia alipie dawa ambazo ni drip za metronidazole pamoja na Cipro ndipo alipoanza kufuatilia na kugundua anaibiwa pesa maana bima unalipia hizo dawa

Lakini pia mgonjwa hakufanyiwa kipimo chochote (kwa maelezo ya ndugu wa mgonjwa) vile vile hawakuambiwa nn shida ya mgonjwa na kwa nn amepewa hayo matibabu Kisha mgonjwa aliruhisiwa hivyo hivyo. Hiyo ni kinyume na maadili ya utoaji wa huduma za afya.
Juzi humu JamiiForums tuliambiwa mwanafunzi wa sua alikaa siku mbili bila kupewa huduma inavyotakiwa hadi akapoteza maisha
Tabia hii ya watu wachache inaondoa Imani ya watanzania kwa watoa huduma napendekeza uchunguzi ufanyike ili hospitali itoe huduma kama inavyotakiwa

Screenshot_20240708-165717.jpg

Haya yalikuwa mawasiliano baina yangu na ndugu wa mgonjwa kwenye picha
Screenshot_20240708-165924.jpg
Screenshot_20240708-165747.jpg
 
Umeleta sehemu sahihi ngoja wakulungwa waje, pole kwa chamgamoto
 
Duh si waliua yule kijana wa Sua hata wiki haijaisha. Morogoro hospitali kunani?
Wapo wagonjwa wa ajali za pikipiki wanafia kwenye mabenchi pale nje kwa uzembe wa madaktari na wauguzi kutowahudumia kwa wakati
 
Duh si waliua yule kijana wa Sua hata wiki haijaisha. Morogoro hospitali kunani?
Wapo wagonjwa wa ajali za pikipiki wanafia kwenye mabenchi pale nje kwa uzembe wa madaktari na wauguzi kutowahudumia kwa wakati
Duh 🙄
 
Jana nilikuwa nafanya mawasiliano na rafiki yangu aliyempeleka mama yake hospitali ya MKOA MOROGORO.
Aliyoniambia nilishangaa na kusikitisha sana

Kwanza mama alikuwa anaumwa tumbo ameharisha kweli alipewa drip (rl) lakini mtoto wa mgonjwa alilazimishwa kuinunua ilihali mgonjwa ana bima.

Mtoto huyo wa mgonjwa aliambiwa pia alipie dawa ambazo ni drip za metronidazole pamoja na Cipro ndipo alipoanza kufuatilia na kugundua anaibiwa pesa maana bima unalipia hizo dawa

Lakini pia mgonjwa hakufanyiwa kipimo chochote (kwa maelezo ya ndugu wa mgonjwa) vile vile hawakuambiwa nn shida ya mgonjwa na kwa nn amepewa hayo matibabu Kisha mgonjwa aliruhisiwa hivyo hivyo. Hiyo ni kinyume na maadili ya utoaji wa huduma za afya.
Juzi humu JamiiForums tuliambiwa mwanafunzi wa sua alikaa siku mbili bila kupewa huduma inavyotakiwa hadi akapoteza maisha
Tabia hii ya watu wachache inaondoa Imani ya watanzania kwa watoa huduma napendekeza uchunguzi ufanyike ili hospitali itoe huduma kama inavyotakiwa

View attachment 3036698
Haya yalikuwa mawasiliano baina yangu na ndugu wa mgonjwa kwenye picha
View attachment 3036705View attachment 3036706
Taasisi za serikali zilizoko morogoro zinaongoza kwa wizi sana.
 
Mbona kama kuna zengwe linapikwa hapo MRRH..?
Mganga mkuu halipi posho za watu nini..?
 
Kuna tatizo, wahusika wachukue hatua haraka
 
Hii hospital ina nini mbona bundi hataki kutoka maeneo hayo?
 
Back
Top Bottom