Hospitali ya Rufaa Iringa yasema “Hatulipishi Huduma ya Vyoo, anayefanya hivyo ni mtu binafsi”

Hospitali ya Rufaa Iringa yasema “Hatulipishi Huduma ya Vyoo, anayefanya hivyo ni mtu binafsi”

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai Hospitali ya Rufaa ya Iringa inalipisha Huduma ya Vyoo, Afisa Habari wa Taasisi hiyo, Zainab Mlimbila amesema wana Huduma ya Vyoo kwa ajili ya Wagonjwa waliolazwa na vipo vya Wagonjwa wa Nje na watu wengine na kuwa vyote ni bure.

Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ Hospitali ya Serikali kwanini inakuwa na huduma ya choo ya kulipia?

UFAFANUZI WA HOSPITALI
Afisa Habari wa Hospitali ya Rufaa ya Iringa, Zainab Mlimbila anaeelezea:
Hospitali yetu ina Vyoo Nane kwa jumla katika majengo tofauti ya Hospitali, kuna Vyoo vya ndani na vingine vya nje, vya Ndani ni vile ambavyo vinatumiwa na Wagonjwa waliolazwa na vile vya nje vinatumiwa na wagonjwa wa nje pamoja na Watu wengine.

Vyoo ambavyo vinazungumziwa vipo kwenye Jengo la Hospitali ambalo limekodishwa kwa mtu, mhusika ameboresha na kuweka vyoo na mabafu ya kulipia.

Vyoo vilivyopo Hospitali sio vya kuoga, vile vya nje katika hilo jengo vinavyozungumziwa vimeboreshwa na vinaruhusu mtu kuoga, hivyo vinatumiwa na watu tofauti wakiwemo wapiti njia.

Jengo hilo lililokodishwa ni la muda mrefu siyo jipya, lipo mpakani na Magereza, mara nyingi ndugu wanaofika kuwatembelea jamaa zao wamekuwa wakifika hapo kuoga na huduma nyingine.

Hospitali yetu ni ya Serikali na haiwezi kuweka vyoo vya kulipia kwa Wagonjwa.
 
Kwamba huyo mtu binafsi kajimilikisha vyoo vya hospitali au mimi ndio sijaelewa?
 
haaa haa ... wanaolipishwa ni wapita njia.. sioni kosa hapo . huwez enda hospital kujisaidia bure.
Nje ya Mada: Mbeya kuna hospital mbili za rufaa.

HOSPITAL YA KANDA MZRH
HOSPITAL YA MKOA MRRH.

ilitakiwa kila hospital iwe na jina lake na siyo jina la mkoa.. mfano kama ilivyo Muhimbili, Benjamin mkapa, Sokoine, Bugando.., Mloganzila . Maana yake hata ikipanda ngazi na kuwa hospital ya Taifa, bado jina lake la asili haliwez kubadilika na kuleta mkanganyiko kwenye jamii..
napendekeza ingeitwa MOUNT LOLEZA ZONAL REF. HOSPITAL (MZRH).
kwa sasa mbeya ukitaka kusema MRRH- basi sema mkoani ili ueleweke, na kwa MZRH we sema tu Rufaa.

sija elewa bado ni hospitali ipi kati ya hizo mbili.
 
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai Hospitali ya Rufaa ya Iringa inalipisha Huduma ya Vyoo, Afisa Habari wa Taasisi hiyo, Zainabu Mlimbika amesema wana Huduma ya Vyoo kwa ajili ya Wagonjwa waliolazwa na vipo vya Wagonjwa wa Nje na watu wengine na kuwa vyote ni bure.

Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ Hospitali ya Serikali kwanini inakuwa na huduma ya choo ya kulipia?

UFAFANUZI WA HOSPITALI
Afisa Habari wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya, Zainabu Mlimbika anaeelezea:
Hospitali yetu ina Vyoo Nane kwa jumla katika majengo tofauti ya Hospitali, kuna Vyoo vya ndani na vingine vya nje, vya Ndani ni vile ambavyo vinatumiwa na Wagonjwa waliolazwa na vile vya nje vinatumiwa na wagonjwa wa nje pamoja na Watu wengine.

Vyoo ambavyo vinazungumziwa vipo kwenye Jengo la Hospitali ambalo limekodishwa kwa mtu, mhusika ameboresha na kuweka vyoo na mabafu ya kulipia.

Vyoo vilivyopo Hospitali sio vya kuoga, vile vya nje katika hilo jengo vinavyozungumziwa vimeboreshwa na vinaruhusu mtu kuoga, hivyo vinatumiwa na watu tofauti wakiwemo wapiti njia.

Jengo hilo lililokodishwa ni la muda mrefu siyo jipya, lipo mpakani na Magereza, mara nyingi ndugu wanaofika kuwatembelea jamaa zao wamekuwa wakifika hapo kuoga na huduma nyingine.

Hospitali yetu ni ya Serikali na haiwezi kuweka vyoo vya kulipia kwa Wagonjwa.
Mara Mbeya mara Iringa
 
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai Hospitali ya Rufaa ya Iringa inalipisha Huduma ya Vyoo, Afisa Habari wa Taasisi hiyo, Zainabu Mlimbika amesema wana Huduma ya Vyoo kwa ajili ya Wagonjwa waliolazwa na vipo vya Wagonjwa wa Nje na watu wengine na kuwa vyote ni bure.

Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ Hospitali ya Serikali kwanini inakuwa na huduma ya choo ya kulipia?

UFAFANUZI WA HOSPITALI
Afisa Habari wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya, Zainabu Mlimbika anaeelezea:
Hospitali yetu ina Vyoo Nane kwa jumla katika majengo tofauti ya Hospitali, kuna Vyoo vya ndani na vingine vya nje, vya Ndani ni vile ambavyo vinatumiwa na Wagonjwa waliolazwa na vile vya nje vinatumiwa na wagonjwa wa nje pamoja na Watu wengine.

Vyoo ambavyo vinazungumziwa vipo kwenye Jengo la Hospitali ambalo limekodishwa kwa mtu, mhusika ameboresha na kuweka vyoo na mabafu ya kulipia.

Vyoo vilivyopo Hospitali sio vya kuoga, vile vya nje katika hilo jengo vinavyozungumziwa vimeboreshwa na vinaruhusu mtu kuoga, hivyo vinatumiwa na watu tofauti wakiwemo wapiti njia.

Jengo hilo lililokodishwa ni la muda mrefu siyo jipya, lipo mpakani na Magereza, mara nyingi ndugu wanaofika kuwatembelea jamaa zao wamekuwa wakifika hapo kuoga na huduma nyingine.

Hospitali yetu ni ya Serikali na haiwezi kuweka vyoo vya kulipia kwa Wagonjwa.
Kwa nini msiweke Huduma ya vyoo na bafu watu kuoga? Huo ni utetezi au mzaha?
 
haaa haa ... wanaolipishwa ni wapita njia.. sioni kosa hapo . huwez enda hospital kujisaidia bure.
Nje ya Mada: Mbeya kuna hospital mbili za rufaa.

HOSPITAL YA KANDA MZRH
HOSPITAL YA MKOA MRRH.

pamoja na mazuri ya Mkurugenzi wa MZRH Dr. Mbwanji. Ila ameshindwa kupigania brand ya hospital yake. ilitakiwa iwe na jina lake mfano kama ilivyo Muhimbili, Benjamin mkapa, Sokoine, Bugando.. Maana yake hata ikipanda ngazi, bado jina lake la asili haliwez kubadilika na kuketa mkanganyiko kwenye jamii..
napendekeza ingeitwa MOUNT LOLEZA.
Naunga mkono hoja
 
haaa haa ... wanaolipishwa ni wapita njia.. sioni kosa hapo . huwez enda hospital kujisaidia bure.
Nje ya Mada: Mbeya kuna hospital mbili za rufaa.

HOSPITAL YA KANDA MZRH
HOSPITAL YA MKOA MRRH.

pamoja na mazuri ya Mkurugenzi wa MZRH Dr. Mbwanji. Ila ameshindwa kupigania brand ya hospitali.
ilitakiwa iwe na jina lake mfano kama ilivyo Muhimbili, Benjamin mkapa, Sokoine, Bugando.., Mloganzila . Maana yake hata ikipanda ngazi na kuwa hospital ya Taifa, bado jina lake la asili haliwez kubadilika na kuleta mkanganyiko kwenye jamii..
napendekeza ingeitwa MOUNT LOLEZA ZONAL REF. HOSPITAL (MZRH).
kwa sasa mbeya ukitaka kusema MRRH- basi sema mkoani ili ueleweke, na kwa MZRH we sema tu Rufaa.

sija elewa bado ni hospitali ipi kati ya hizo mbili.
Kuna in patient na out patient wote hawa kwa muhimbili vyoo vipo kwenye majengo husika, ila visitors mara nyingi wanakaa kwenye hizi canteen nazo zina huduma za vyoo kwa kulipia kasoro canteen ya Moi toilet yao ndio free kwa wateja.
 
Hospitali Kwa Sasa zinaupuuzi mwingi sana.mhimbili nayo imewategeshea wagonjwa CCTV chooni.
 
Back
Top Bottom