A
Anonymous
Guest
Tunaomba msaada , hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora haaina huduma ya VIFUNGASHIO kwa ajili ya kubebea dawa, mgonjwa akipewa dawa analazimika kubeba mikononi au kwenye mabox kitu ambacho kinahatarisha dawa kuanguka na kupasuka..!!
Mtu anaweza nunua dawa hadi za elfu 50, lakini akakosa kifungashio cha Tsh. 500. Tukiwauliza wahusika wanasema vifungashio havipo.!!
Tunaomba uongozi ulifanyie kazi imekuwa ni kero kwa wagonjwa.
Majibu ya Uongozi wa Hospitali ~ Hospitali ya Kitete (Tabora) yasema itafanyia kazi changamoto ya kukosekana kwa Vifungashio vya Dawa
Mtu anaweza nunua dawa hadi za elfu 50, lakini akakosa kifungashio cha Tsh. 500. Tukiwauliza wahusika wanasema vifungashio havipo.!!
Tunaomba uongozi ulifanyie kazi imekuwa ni kero kwa wagonjwa.
Majibu ya Uongozi wa Hospitali ~ Hospitali ya Kitete (Tabora) yasema itafanyia kazi changamoto ya kukosekana kwa Vifungashio vya Dawa