A
Anonymous
Guest
Wafanyakazi wa Hospitali ya Mtakatifu Joseph Peramiho iliyopo Songea mkoani Ruvuma wakiwemo wauguzi na wafamasia wametishia kuishtaki hospitali hiyo kwa madai ya kutokulipwa mishahara yao ya mwezi mmoja.
Hii inatokana na Hospitali hiyo kudai kuyaona majina ya maombi ya ajira za Serikali zilizotangazwa miezi kadhaa iliyopita.
Hii inatokana na Hospitali hiyo kudai kuyaona majina ya maombi ya ajira za Serikali zilizotangazwa miezi kadhaa iliyopita.