Hospitali ya Taifa Muhimbili kuna wodi inaitwa Sewahaji

Hospitali ya Taifa Muhimbili kuna wodi inaitwa Sewahaji

Adil_101

Senior Member
Joined
Jul 26, 2022
Posts
110
Reaction score
345
Unajua Sewahaji alikuwa ni nani?

Sewa Haji Paroo ndio hasa alianzisha hospitali ya Muhimbili, Ingawa baadhi ya walioathiriwa na elimu ya kikoloni kwa kiwango kikubwa hushikilia kwamba Muhimbili ilianzishwa na Waingereza

Taarifa zilizopo Hospitalini Muhimbili na Makavazi ya Taifa ni kuwa SEWA HAJI PAROO toka India ndiye hasa Mwanzilishi wa Hospitali ya Muhimbili.

Sewahaji alikuwa ni mfanyabiashara, na alikuja Afrika Mashariki kutafta Maisha. Alifika huku Tanzania Bara(Tanganyika)
Screenshot_20230419-131204.jpg
IMG_20230419_131103.jpg
 
kupitia kisiwa cha Zanzibar akitokea katika mji wa Bhuj

Mwaka 1852 aliamua kufungua Duka la bidhaa mbalimbali kwenye Visiwa vya Zanzibar.

Biashara ilikuwa kubwa zaidi, Hivyo mwaka 1860 alifungua Duka lingine kubwa maeneo ya Bagamoyo, kisha akaamua kuweka Makazi yake hapo.

Biashara zake ikawa kubwa mno, hivyo Sewahaji akawa ni mmoja kati ya matajiri wakubwa katika eneo la Afrika Mashariki.

Alisaidia Watu wote bila kujali Rangi, Dini wala Kabila zao.

Alinunua Majengo kadhaa na kuyafanya Makazi ya watu wasiojiweza na wasio na makazi waliokimbilia
IMG_20230419_131329.jpg
IMG_20230419_131338.jpg
 
kupitia kisiwa cha Zanzibar akitokea katika mji wa Bhuj

Mwaka 1852 aliamua kufungua Duka la bidhaa mbalimbali kwenye Visiwa vya Zanzibar.

Biashara ilikuwa kubwa zaidi, Hivyo mwaka 1860 alifungua Duka lingine kubwa maeneo ya Bagamoyo, kisha akaamua kuweka Makazi yake hapo.

Biashara zake ikawa kubwa mno, hivyo Sewahaji akawa ni mmoja kati ya matajiri wakubwa katika eneo la Afrika Mashariki.

Alisaidia Watu wote bila kujali Rangi, Dini wala Kabila zao.

Alinunua Majengo kadhaa na kuyafanya Makazi ya watu wasiojiweza na wasio na makazi waliokimbiliaView attachment 2592949View attachment 2592950
Mzizima. Kwa wasiofahamu, Mzizima ndio Dar es salaam ya sasa.

Hivyo basi ile hali ya watu kukimbilia Dar imekuwepo miaka na miaka.

Alijenga shule za msingi na Hospitali kadhaa katika Mji Wa Mzizima

Alijenga Hospitali akaiita Sewahaji Hospitali ikawa inatoa Huduma bure kwa Walalahoi wa Mzizima.

Mnamo Februari, 1897 Sheikh Sewa Haji Paroo alifariki Dunia.

Ilikuwa ni huzuni na nimanzi kubwa wakazi wa Bagamoyo na Mzizima.

Aliependwa sana kwa Moyo wake wa Ukarimu.

Baada ya Kifo chake, Wakoloni wakabadilisha Jina Kutoka "Sewahaji Hospital"...

na ikaitwa "Princess Magreth Hospital".

Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, na Mojawapo ya Wodi inaitwa SEWA HAJI.

Kulingana na Kaka Manyerere Jackton, eneo ilipo Muhimbili ya sasa ilikuwa eneo la kutupia Masalia yanayotokana na Mama kujifungua.

Na masalia hayo huitwa Muhimbili, hivyo hiki ndio chanzo cha Hospital hii kuitwa MUHIMBILI.
.
.
Leo jiulize mchango wako katika kuboresha hali ya watu wengine, Usijiulize kuhusu umaarufu kwani siku moja historia itasema yenyewe.
.
.
[emoji1477][emoji1479][emoji1487]
IMG_20230419_131540.jpg
 

Muhimbili and Bagamoyo Hospitals, Mwambao School: The legacy of Sewa Haji Paroo in Tanzania​

Muhimbili and Bagamoyo Hospitals, Mwambao School: The legacy of Sewa Haji Paroo in Tanzania
The history of the current Muhimbili National Hospital located in Dares salaam city, Tanzania, goes way back to 1897 when an Indian businessman established what came to be known as Sewa Haji Hospital.

Later on when the British came in as new rulers after the Germans, the hospital was renamed Princess Margaret Hospital. It was after a few years after independence in 1961 that the name of the Hospital was changed to Muhimbili Hospital with one of its Ward blocks retaining the name of Sewa Haji in memory of the founder of the hospital.

Excerpt from Amirali Mamdani’s Voyage of Destiny:

In spite of all his prominence, Sewa remained a humble and devout Ismaili leader and an ardent humanitarian.

In his will, he bequeathed his properties in Dar es Salaam and Bagamoyo to the German government on the condition that the income from these properties would be used in providing food for lepers and toward the establishment of a hospital in Bagamoyo.
His love and concern for education led him to donate a school for African and Indian children.

In 1891, Dar es Salaam became the capital of German East Africa. Here he helped to establish the Sewa Haji Hospital. During British rule, this hospital was named Princess Margaret Hospital and renamed again in 1956 as the Muhimbili Hospital, the principal teaching hospital in Tanzania.

Sewa Haji although born Indian, was a true son of Africa in heart and soul. He worked all his life for Africa, his adopted motherland, and whatever wealth he accumulated gave back for the development of education, public institutions, and the welfare of its citizens. The Christian missionaries referred to him as “our generous friend”.

Sewa Haji (1851-1897)


Sewa Haji


Today, 117 Years have passed and we still remember this great man. Sewa Haji, born in 1851 in Zanzibar, Tanzania. He was a WEALTHY business man, WHO Had business caravan in Bagamoyo and Zanzibar, BUT ALSO KNOWN frame to be God fearing and a philanthropist.


He donated a three storey building in Bagamoyo in 1892 to be used as a School. The School The First mixed race frame School in Tanganyika During the German colonial era. Later on, he Developed a hospital, donated MANY wells and land in Bagamoyo During the cholera Outbreak, and a home for the lepers.

He built the biggest hospital in Dar-Es-Salaam that was named Sewa Haji Hospital, later on During the British rule, the name changed to frame Princess Margaret Hospital, now Muhimbili Hospital. He donated Property and land to the poor, without regards to race or religion.

He passed away in February 1897 in Zanzibar at the age of 46.
In Tanzania, he is greatly Remembered, in the new Rebuilt Muhimbili Hospital, a ward is in his own named HONOR.

His own School (now Coastal Primary School) and hospital (now Bagamoyo District Hospital) still stand in Bagamoyo.

The land he donated in Mombasa, Kenya is still being used as a Cemetery.
May Allah grant him a high place in Jannah. He was a muslim not only by name, BUT ALSO by his own actions, for he understood the true meaning of serving unkind.

Bagamoyo District Hospital

Bagamoyo District Hospital
In 1886 the Indian merchant Sewa Haji offered land and money to the Missionaries for a new hospital in the town. The laying of the foundation stone was done March 25, 1891, in the present of the German Governor Wissmann.

In 1912 the German administration took over the hospital which is still a Government Hospital with more than 100 beds. It is the only hospital in the Bagamoyo District which has the large of the state of Lebanon. It is the hospital of the poor people of Bagamoyo.

Since many years Bagamoyo Friendship Society/Germany supports Bagamoyo District Hospital and has renovated the big hospital completly (water and waste water system, several stations, operating theatre, roofs, all toilets and showers, new bridge, building of new maternity ward etc.

In 2006 Bagamoyo Friendship Society/Germany renovated roof of old German colonial main building.

Mwambao Primary School (Old German School), Bagamoyo: One of the first schools in East Africa

Mwambao Primary School (Old German School), Bagamoyo: One of the first schools in East Africa
Sewa Haji donated the school to the German Colonial Government in 1896. He made it a condition that the Germans should found a school for African, Indian and German pupils (in different classes).
The old German School was one of the first schools in East Africa.


Until May 2006 it was under extremly bad condition. In the second half of 2006 German partnerschool “Marienschule Ahlen” and Bagamoyo Friendship Society/Germany renovated the school completly – supported by many private German sponsors and supported by the Federal Republic of Germany.

Mwambao Primary School has about 800 pupils, more than 350 pupils have no parents. There is also one class with handicapped pupils.

Tanzanian President Jakaya Kikwete himself was a pupil of Mwambao School
 
Matibabu ya bure yalitolewa hata wakati wa Nyerere
 

Muhimbili and Bagamoyo Hospitals, Mwambao School: The legacy of Sewa Haji Paroo in Tanzania​

Muhimbili and Bagamoyo Hospitals, Mwambao School: The legacy of Sewa Haji Paroo in Tanzania
The history of the current Muhimbili National Hospital located in Dares salaam city, Tanzania, goes way back to 1897 when an Indian businessman established what came to be known as Sewa Haji Hospital.

Later on when the British came in as new rulers after the Germans, the hospital was renamed Princess Margaret Hospital. It was after a few years after independence in 1961 that the name of the Hospital was changed to Muhimbili Hospital with one of its Ward blocks retaining the name of Sewa Haji in memory of the founder of the hospital.

Excerpt from Amirali Mamdani’s Voyage of Destiny:

In spite of all his prominence, Sewa remained a humble and devout Ismaili leader and an ardent humanitarian.

In his will, he bequeathed his properties in Dar es Salaam and Bagamoyo to the German government on the condition that the income from these properties would be used in providing food for lepers and toward the establishment of a hospital in Bagamoyo.
His love and concern for education led him to donate a school for African and Indian children.

In 1891, Dar es Salaam became the capital of German East Africa. Here he helped to establish the Sewa Haji Hospital. During British rule, this hospital was named Princess Margaret Hospital and renamed again in 1956 as the Muhimbili Hospital, the principal teaching hospital in Tanzania.

Sewa Haji although born Indian, was a true son of Africa in heart and soul. He worked all his life for Africa, his adopted motherland, and whatever wealth he accumulated gave back for the development of education, public institutions, and the welfare of its citizens. The Christian missionaries referred to him as “our generous friend”.

Sewa Haji (1851-1897)


Sewa Haji


Today, 117 Years have passed and we still remember this great man. Sewa Haji, born in 1851 in Zanzibar, Tanzania. He was a WEALTHY business man, WHO Had business caravan in Bagamoyo and Zanzibar, BUT ALSO KNOWN frame to be God fearing and a philanthropist.


He donated a three storey building in Bagamoyo in 1892 to be used as a School. The School The First mixed race frame School in Tanganyika During the German colonial era. Later on, he Developed a hospital, donated MANY wells and land in Bagamoyo During the cholera Outbreak, and a home for the lepers.

He built the biggest hospital in Dar-Es-Salaam that was named Sewa Haji Hospital, later on During the British rule, the name changed to frame Princess Margaret Hospital, now Muhimbili Hospital. He donated Property and land to the poor, without regards to race or religion.

He passed away in February 1897 in Zanzibar at the age of 46.
In Tanzania, he is greatly Remembered, in the new Rebuilt Muhimbili Hospital, a ward is in his own named HONOR.

His own School (now Coastal Primary School) and hospital (now Bagamoyo District Hospital) still stand in Bagamoyo.

The land he donated in Mombasa, Kenya is still being used as a Cemetery.
May Allah grant him a high place in Jannah. He was a muslim not only by name, BUT ALSO by his own actions, for he understood the true meaning of serving unkind.

Bagamoyo District Hospital

Bagamoyo District Hospital
In 1886 the Indian merchant Sewa Haji offered land and money to the Missionaries for a new hospital in the town. The laying of the foundation stone was done March 25, 1891, in the present of the German Governor Wissmann.

In 1912 the German administration took over the hospital which is still a Government Hospital with more than 100 beds. It is the only hospital in the Bagamoyo District which has the large of the state of Lebanon. It is the hospital of the poor people of Bagamoyo.

Since many years Bagamoyo Friendship Society/Germany supports Bagamoyo District Hospital and has renovated the big hospital completly (water and waste water system, several stations, operating theatre, roofs, all toilets and showers, new bridge, building of new maternity ward etc.

In 2006 Bagamoyo Friendship Society/Germany renovated roof of old German colonial main building.

Mwambao Primary School (Old German School), Bagamoyo: One of the first schools in East Africa

Mwambao Primary School (Old German School), Bagamoyo: One of the first schools in East Africa
Sewa Haji donated the school to the German Colonial Government in 1896. He made it a condition that the Germans should found a school for African, Indian and German pupils (in different classes).
The old German School was one of the first schools in East Africa.


Until May 2006 it was under extremly bad condition. In the second half of 2006 German partnerschool “Marienschule Ahlen” and Bagamoyo Friendship Society/Germany renovated the school completly – supported by many private German sponsors and supported by the Federal Republic of Germany.

Mwambao Primary School has about 800 pupils, more than 350 pupils have no parents. There is also one class with handicapped pupils.

Tanzanian President Jakaya Kikwete himself was a pupil of Mwambao School
Nimeipenda hii
 
kupitia kisiwa cha Zanzibar akitokea katika mji wa Bhuj

Mwaka 1852 aliamua kufungua Duka la bidhaa mbalimbali kwenye Visiwa vya Zanzibar.

Biashara ilikuwa kubwa zaidi, Hivyo mwaka 1860 alifungua Duka lingine kubwa maeneo ya Bagamoyo, kisha akaamua kuweka Makazi yake hapo.

Biashara zake ikawa kubwa mno, hivyo Sewahaji akawa ni mmoja kati ya matajiri wakubwa katika eneo la Afrika Mashariki.

Alisaidia Watu wote bila kujali Rangi, Dini wala Kabila zao.

Alinunua Majengo kadhaa na kuyafanya Makazi ya watu wasiojiweza na wasio na makazi waliokimbiliaView attachment 2592949View attachment 2592950
marekebisho ni kwamba alizaliwa 1851 huo mwaka unaosema alianza biashara 1852 alikuwa na mwaka mmoja tu.
 
Back
Top Bottom