1. Ukifika hospital za Umma ni kama upo langoni kuelekea kifo.
2. Huduma mbovu, pengine mpaka utoe Chochote nimefika Mwananyamala mabango ya kukataza rushwa na makamera kila kona utadhani maonyesho Ila huduma hupati bila kutoa pesa ya chai au ujiandae kushinda hapo hospitalin toka asubuhi mpaka jioni.
3. Tubadilike. Zipo picha zaidi za ushahidi Ila hazifai kuweka hapa maana zinatweza utu.
4. Tuwatunze kw kuwapa huduma nzuri kinamama. Maana bila wao, tusingefika hapa.
NB: Land cruiser LC 300 sawa na 600m TZS unanunua vitanda vya chuma vingapi?
2. Huduma mbovu, pengine mpaka utoe Chochote nimefika Mwananyamala mabango ya kukataza rushwa na makamera kila kona utadhani maonyesho Ila huduma hupati bila kutoa pesa ya chai au ujiandae kushinda hapo hospitalin toka asubuhi mpaka jioni.
3. Tubadilike. Zipo picha zaidi za ushahidi Ila hazifai kuweka hapa maana zinatweza utu.
4. Tuwatunze kw kuwapa huduma nzuri kinamama. Maana bila wao, tusingefika hapa.
NB: Land cruiser LC 300 sawa na 600m TZS unanunua vitanda vya chuma vingapi?