😅😅Hospitality!
Sensodine?Nimetumia dawa nyingi za meno, kuna dawa nimeikubali meno ni ngangari kinoma.
Note: Badilisha mswaki kila baada ya siku 30 hadi 40.
Colgate MaxFreshSensodine?
Habari wakuu wa afya,
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.
ABC dental clinic ni zaidi ya kila kitu iko mikocheni B jirani na Fedha NurseryHabari wakuu wa afya,
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.
Sintokaa nilisahau hili jibu lako ndugu mpaka naingia kaburini nilijua labda we huumwagi ndugu yangu?,,,sina hiana mi nakuombea upate ufumbuzi wa tatizo lakoHabari wakuu wa afya,
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.
Mkuu, Nenda Muimbili, jengo la OPD. Kuna Doctor wengi pale wazuri sana. Kuna mwamba anaitwa Dr. F. Kamugisha,respect to him, nilikuwa nasumbuliwa sana na meno ila huyu Dr. Kamugisha ni fundiHabari wakuu wa afya,
Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi.
je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa Dsm??? hospital nyingi wanabania dawa,Yaani hata kama unatumia bima au cash,
Labda cash sina hakika sanaa,
Ila Nahisi dawa wanazotumia Kuziba Fizi au utaalam wao ni mdogo.
Kuna dada mmoja aliwahi ribiwa jina huu mwaka wa 15Hajawahi rudia tena kuziba!
Alizibwa Huko Arusha hospital ya mission.