Hospitality & Tourism management!

Hii kozi kaisoma Mwanangu tena nje ya nchi, kupata kazi ni issue, mpaka mkombozi alivyotunong'oneza kuwa Dubai na Doha wanatafutwa Kama njugu, jamaa aende kwenye website ya nchi husika Emirates na Qatar.Atashangaa. Wakishavuna wataambiwa SI wazalendo.
 

Your JF ID says it all!
 
Saint Ivuga asante sana kwa mchango wako yakinifu ktk hli!Nshakuinbox email yang 2tawasliana zaid!Pa1 2naweza, uungwana ni vtendo!
 
Last edited by a moderator:
>KyanaKyomuhaya, nmekupata mkubwa ntaftlia hzo nchi na website nijue knachoendlea!Bt pia ndo ka ulvomalzia hapo juu tatzo badae tena 2taambiwa co wazalendo!Ol in ol, kozi ye2 ni mpya TZ/E.Africa pia wadau hawaijui ndo chaleng!2tazkabil as pioneers!Thnx
 
>Tindikalikali hapa c mahali pakushndana maneno mkuu!U beta mind ur buzness mkuu!Uungwana ni vtendo hasa kwa mwanaume maneno meng hayajengi!Watz 2saidiane "constructive ideas" 2zpinge "destructive ideas" UMASKINI UCWE WIMBO MKUU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…