MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
- Thread starter
-
- #181
Iko moto haswaaa ila kwa upande wa hizi house mkuu kuna remix moja wameifanyia I need your love ya ellie goulding kwa tropical beat na Hymn for the weekend ya coldplay yaani hizo sijawahi kuzichoka kabisa embu zisample hapaMatrix & Future Bound ft Max Marshall- Fire
Hii kitu iko moto sanaaa
CC: zitto junior , Red Giant , Benny
ngoja nizisikilizeIko moto haswaaa ila kwa upande wa hizi house mkuu kuna remix moja wameifanyia I need your love ya ellie goulding kwa tropical beat na Hymn for the weekend ya coldplay yaani hizo sijawahi kuzichoka kabisa embu zisample hapa
Hiyo Hymn for the weekend isikilize mpaka mwisho... Maana at the end it's so emotional inahamisha akili kabisa kwenda mbingu ya 7!!!ngoja nizisikilize
Hii ngoma iko poa sana.Matrix & Future Bound ft Max Marshall- Fire
Hii kitu iko moto sanaaa
CC: zitto junior , Red Giant , Benny
Nimeielewa sana hii ngoma.Matrix & Future Bound ft Raphaella- Human
Iko moto haswaaa ila kwa upande wa hizi house mkuu kuna remix moja wameifanyia I need your love ya ellie goulding kwa tropical beat na Hymn for the weekend ya coldplay yaani hizo sijawahi kuzichoka kabisa embu zisample hapa
Hymn for the weekend imetengenezwa sana aisee!Iko moto haswaaa ila kwa upande wa hizi house mkuu kuna remix moja wameifanyia I need your love ya ellie goulding kwa tropical beat na Hymn for the weekend ya coldplay yaani hizo sijawahi kuzichoka kabisa embu zisample hapa
I ALSO HAVE THIS FEEL YAANI KAMA DUNIA TUNAISHI MILELE ZILE BEAT ZAOHahah tena alliens wa Mars....
Mkuu mimi zile beats zao zinanipaga sana wendawazimu wa mziki...
Kwenye lyrics ukute ni Sia halafu beat ya David Guetta unaweza kudhani kua dunia hii tunaishi milele kumbe kifo nje nje....
MKUU UMETISHA SANA HII NGOMA NAIELEWA MNO
HII NGOMA INA INSTRUMENTAL KALI
NI FELIX JAEHN ALIIRUDIA IMEKUWA KALI HUYU PIA ALIIRUDIA ILE CHEERLEDER YA OMI NA KUIPA UMAARUFUchaka khan
DAH KUNA HII YA ROC BOYS YA JAYZ YANI NI LAZIMA KUISIKILIZAMkuu tukiwa bado kwenye majonzi ila naona kama unampotezea kwa mbaali Dj MATOMA naye yuko vizuri sana anafanya beat za Tropical ni hatari sana
Nmeipenda alivyofanyia remix hii ngoma ya notorious BIG na Snoop dogg
Bila kusahau nyimbo iliyomtambulisha kwenye international scene akiwa na popcaan hatari sana sijawahi kuichoka ngoma hii
Hyo ya zedd imetisha sana....naona wameipiga live kabisa