Mennina na Dangote walaaaaaaaaa:embarrassed1: angemuoa Penina tu , asijidanganye ataishia kuharibikiwa kama kidoti tu ! Mwanaume wenyewe nani ! huyo Majanga++
Domo kasanuka wema mbibi hafai kua wife material,mda wote yuko n mashoga kwenye vigodoro familia ataiweza huyo
Ndio hivyo na kuigeuza nyumba danguro,mwanaume hata awe kicheche ataoa demu mtulivu
Kama ni bibi si amwambie tu mtoto wa watu aanze kufanya mambo yake maana hata huyo domo kila mda yuko na wanawake atapata wapi time ya kukaa na wanae?
Kwanza mi ningemshauri Daimondo asioe ale ujana kwanza ataoa akifikisha 38 huko anaoa haraka haraka ya ninii halaf angeoa bint asie maarufu kama FA alivyofanya unamdhibiti mwanamke anatulia ndani tu na shughul zake basi
Huyo kila siku anataka auze sura wa nini sasa
Yani kunywa balimi creti ntalipa mimi,cku zote mwanamke macho juu hadumu kwenye ndoa,ukioa huyo bibie gpl wanahamia kwako hata ukijamba wanatoa stori chezea watoto w mjini wewe
Yupo lolowapi atamfuta machozi
Yap bado akili za kuoa hana damu inachemkaaa huyoo
Hizi ni dalili za Diamond kutoa wimbo mpya!
Bila shaka siku si nyingi ata tangaza kutoa singo mpya!
Hii ni aina ya promotion anayo pendelea!
Kuhusu kuoa ninge mshauri hasioe kwanza mpaka atakapo kuwa na akili timamu za kuoa!
We nataka savanaa 30 bana
Ngosha yake balimi tena na ugali kwa mchicha
Wema atakuwa mke mdogo.
We situmiii hhhhaaaaa
Basi kunywa savanna 24 kwa bili yangu
Hapo chawaaaa yaan nabeba na kubebaa nikizidiwaa
Naiacha home kabisaaaa usijali maana ikizama warumi atanicheka mnooo