kweli kabisa ndugu hiyo ndio silaha yao kubwa sanatofauti na dhana iliyojaa katika vichwa vya watu wengi eti ya kuwa majasusi (wazee kwa kazi) ni watu makauzu sana na ni lazima wawe na sura ngumu. hapana. silaha ya kwacha ya hao wazee kwa kazi ni muonekano wao. mara nyingi huwa ni watu wacheshi sana na wachangamfu hakuna mfano wakijua fika kuwa ucheshi na uchangamfu wao ni moja kati ya njia rahisi sana za kuweza kulainisha na ku-corrupt moyo wa mtu na kutimiza kusudi lao.
african governments still relay on human intelligence to gather information.Mara nyingi namna ujasusi unavyotekelezwa katika dunia halisi ni mara chache sana hufanana na zile television movies za hollywoods kama James Bond, Tom Cruise na wengineo.Ila ujasusi bado inabaki kuwa moja kati ya njia muhimu na hatari sana zitumiwazo na serikali zote duniani katika ukusanyaji wa taarifa kutoka kwa mahasimu wake.
Kwa mara zote mafanikio ama kushindwa kwa majasusi kumewezesha kubadilika kwa sera za nchi za nje za serikali kote duniani, kumebadili meulekeo na mapigano ya vita na kuacha kovu kubwa sana, mara nyingi kovu hilo hufichwa, katika historia ya dunia.
Viongozi wa dunia huwa ukabiliwa na hali zinazowahitaji kufanya maamuzi magumu na muhimu kila kukicha na taarifa sahihi ndio kitu pekee muhimu katika kuyafanya maamuzi hayo kuwa sahihi. taarifa kama adui yako ana jeshi lenye ukubwa kiasi gani (mfano.
Al shabaab na Boko haram)? Wamefikia kiwango gani cha kutengeneza silaha hatari za siri? Je wana mpango wa kuingia katika makubaliano ya kibiashara na nchi nyingine? Je kuna baadi ya makamanda wa kijeshi wanapanga mapinduzi? Mara nyingi njia za ukusanyaji wa taarifa za kijasusi hutofautiana kulingana na utofauti wa taarifa zenyewe zinazohitajika.
Sasa swali lipo mezani, je ni njia gani hawa intelligence officers (kama vile former KGB, CIA na hata MOSSAD) walitumia kupata taarifa katika moja kati ya operations zao walizozifanya hapo awali?Wale wanaojiitaga wazee wa kusoma kutoka google akina Infantry Soldier, BM-40 OPERATOR, Weltmeisterschaftung, pamoja na wengine kibao nawataka hapa leo hii.
Ipo vizuri sana ile serieskaangalie 24 ya jack beur utapata kila kitu na zaidi
wewe jamaa Prince Naseem unaweza kuwa ni mmoja kati ya wale wale majasusi fake wa humu jf sasa leo umeamua tu kuja kwa style na ID tofauti kabisa ili kuanza kutuchanganya kwa mara nyingine tena.
Sijaona tofauti kati ya mleta uzi na nyinyi wawilihuyo jamaa ndio ni team moja na hao wanaopata data kupitia google writings asikuzuge hata kidogo mkuu.
Samahani huyo kwenye avatar ni wewe??Espionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.
Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
Yes ni mimiSamahani huyo kwenye avatar ni wewe??
Inawezekana wotee ndio wale waleSijaona tofauti kati ya mleta uzi na nyinyi wawili
Kutafuta classified data sio kazi ya kitoto kaka yangu kwa maana hao wenye nazo wanajua wanawindwa na kuchunguzwa 24 hours.hv hawa watu wanafikiri kutafuta habari ni kazi hvyo? we kaa na mtu dk moja ataropok ni vipi kalala na mkewe
Kutafuta classified data sio kazi ya kitoto kaka yangu kwa maana hao wenye nazo wanajua wanawindwa na kuchunguzwa 24 hours.
Upo sahihi kwa upande mmoja lakini kumbuka pia hao unaotafuta data zao pia wapo very very smart na wanazo human assets equal or better than you, sawa? So inawezekana wanachowaza spies wa Israel sasa hivi ndio walichowaza counterspies wa Iran 3 months ago.Kina "smooth operators"...."silent killers"......"cold beauty"......"deadly sweetness"......."sweet poison"......"queen of darkness".....na wengine kibao, kwao obtaining such info is a piece of cake!
Mostly I believe being a Spy should be [HASHTAG]#Born[/HASHTAG] & [HASHTAG]#Bread[/HASHTAG] from the Inside out and not the Outside in! Kama umekua designed naturally (umezaliwa hivyo) kuwa Spy then hakuna mission itakua ngumu , only utaPata challenges kibao to cut you down, na the more you face them challenges the more it cuts you into something even more deadly & great!
Sawa dada JasusiEspionage kama taaluma kuna mambo chungu zima.
--- kukamata majaususi wa adui wanao operate ndani ya nchi na Ku intercept mipango yao.
--- kuna kufuatilia mienendo ya viongozi wa serikali wa ngazi za juu pamoja na watumishi wa idara husika ya ujasusi kama wanaenenda na viapo vyao ( oath of office )
--- kulinda miundo mbinu muhimu kwa nchi kama petroleum pamoja na food reserves dhidi ya mashambulizi ya adui.
--- majasusi wa kijeshi (military intelligence) wao wanafanya tathmini ya hatari ya uvamizi wa kijeshi kutoka nchi yoyote ya jirani pamoja na ku verify military readiness ya jeshi kwenye kujibu mashambulizi ya ghafla ya adui.
--- intelligence inawezesha kupatikana kwa taarifa zitazowezesha policy makers kuunda sera za mahusiano ya nchi za nje pamoja na namna nzima ya kuendesha serikali.
Ujasusi ni somo moja refu sana wadogo zangu.
Aisee ungekuwa,hujaolewa ningeomba,nikuoe ili watoto wawe more intelligent kama weweUpo sahihi kwa upande mmoja lakini kumbuka pia hao unaotafuta data zao pia wapo very very smart na wanazo human assets equal or better than you, sawa? So inawezekana wanachowaza spies wa Israel sasa hivi ndio walichowaza counterspies wa Iran 3 months ago.
Aisee mtoto kama malaika vileYes ni mimi
Mmeelewana?Haha sawa
Bado sijaolewa sweetheartAisee ungekuwa,hujaolewa ningeomba,nikuoe ili watoto wawe more intelligent kama wewe