What I meant ni ngono kutumika kama mtego/ulimbo/chambo. .....mbinu hii inafanya kazi since the creation of this World mpaka sasa inaendelea kufanya kazi....and with the way things are going it looks like itaendelea kufanya kazi mpaka mwisho wa dunia.... (sex+money+power=life reality kwa sasa)
Asante, mkuu, nilikuelewa.
Ila samahani, Mimi siyo spy ila Nakupenda naweza kutunikiwa zawadi ya ushindi!?
Basi nitakuja site nikueleweshe.Sijakuelewa?
Basi nitakuja site nikueleweshe.
😀😛😀😀😛🙂"Site"?! Ndio wapi huko?
Sema hapa....
Mwaga mchele huo kuku wapo wengi tu hapa😀😛😀😀😛🙂
Wote watakuja nikisema hapa.
Hasa haaaaaa haaaaaa
Mwaga mchele huo kuku wapo wengi tu hapa
Hata wewe ni miongoni mwao.usidhani hatukujuingoja tuwasubiri wataalamu
Jamaa anataka kujitoa kwenye list ya spies akati watu wanadata zake😀Hata wewe ni miongoni mwao.usidhani hatukujui
😀😀😀 tumenyamaza tu lakin tunawajua wote!Jamaa anataka kujitoa kwenye list ya spies akati watu wanadata zake😀
Penda tu kujisomea utayajua yote aya mkuuNaomba mungu kila sku na mm niwe najua haya mambo kama waliochangia humu
Usinitanie hapa huyo sio demu na huyo Pict sio yeye Ila kama VP we jilipue tuMkuu huyu demu Girl Next-door hiyo picha ni yake. Ni dada mmoja mtaratibu saana. I really love her, to be honesty.
Iko hivyoMara nyingi namna ujasusi unavyotekelezwa katika dunia halisi ni mara chache sana hufanana na zile television movies za hollywoods kama James Bond, Tom Cruise na wengineo.Ila ujasusi bado inabaki kuwa moja kati ya njia muhimu na hatari sana zitumiwazo na serikali zote duniani katika ukusanyaji wa taarifa kutoka kwa mahasimu wake.
Kwa mara zote mafanikio ama kushindwa kwa majasusi kumewezesha kubadilika kwa sera za nchi za nje za serikali kote duniani, kumebadili meulekeo na mapigano ya vita na kuacha kovu kubwa sana, mara nyingi kovu hilo hufichwa, katika historia ya dunia.
Viongozi wa dunia huwa ukabiliwa na hali zinazowahitaji kufanya maamuzi magumu na muhimu kila kukicha na taarifa sahihi ndio kitu pekee muhimu katika kuyafanya maamuzi hayo kuwa sahihi. taarifa kama adui yako ana jeshi lenye ukubwa kiasi gani (mfano.
Al shabaab na Boko haram)? Wamefikia kiwango gani cha kutengeneza silaha hatari za siri? Je wana mpango wa kuingia katika makubaliano ya kibiashara na nchi nyingine? Je kuna baadi ya makamanda wa kijeshi wanapanga mapinduzi? Mara nyingi njia za ukusanyaji wa taarifa za kijasusi hutofautiana kulingana na utofauti wa taarifa zenyewe zinazohitajika.
Sasa swali lipo mezani, je ni njia gani hawa intelligence officers (kama vile former KGB, CIA na hata MOSSAD) walitumia kupata taarifa katika moja kati ya operations zao walizozifanya hapo awali?Wale wanaojiitaga wazee wa kusoma kutoka google akina Infantry Soldier, BM-40 OPERATOR, Weltmeisterschaftung, pamoja na wengine kibao nawataka hapa leo hii.
Kwa hiyo mimi ni mwanaume? We mkaka vp? Huoni unatudhalilisha sisi akina dada kwa kutufananisha na wanaume?Usinitanie hapa huyo sio demu na huyo Pict sio yeye Ila kama VP we jilipue tu
Aaaah,,,,,,I'm sorry for that my love ila weee hujui kwann nafanya hayo lengo ni kumkimbiza infantryKwa hiyo mimi ni mwanaume? We mkaka vp? Huoni unatudhalilisha sisi akina dada kwa kutufananisha na wanaume?
Alafu we dogo haujitaki nini? Naona unanifuatilia saana. Umejichoka eh?Sijaona tofauti kati ya mleta uzi na nyinyi wawili
Inawezekana unajua vizuri tu, sema unawachora vijana wanavyobwabwaja humu.Naomba mungu kila sku na mm niwe najua haya mambo kama waliochangia humu
Hahahaaa,,,,,,,,wewe huna lolote lile mshika bastola nenda kawatishe shangaz zakoAlafu we dogo haujitaki nini? Naona unanifuatilia saana. Umejichoka eh?