kwa hiyo haka ni ka mgomo? acheni ubinafsi na uchoyo, vinginevyo na siye wasomaji tutasusia tuone kama itaendelea kubeba jina la hot story.
wamesahau hakuna fanani pasipo na hadhira
Mh vp mbona kumepoa au ndo na imeixhia hapo
habari zenu wazima humu
nimejaribu kumcheki yule kijana kwenye simu but hapatikani kana akiwa online nitambembeleza amalizie clip zote.
nimeongea nae muda huu amesema anamalizia epsod ya 70 kesho atawatumia so muwe na subra.
hapo kwenye hela ndo kashanikosa
watz bana
Mkuu huyu jamaa naona alipojua story zake zinasambaaa akamua afanye biashara ni.hivi tupo sehemu ya 70 kama sikosei hicho kitabu kikija muendelezo utakuepo ila sasa hakina ladha watu tushasoma kuanzia mwanzo had had uhondo ushanoga kama alitaka biashara bas asingeitoa mwanzo.had hapo n atoe tu kitabu wapo watakaonunua wapo tutakao acha kukinunua
kwani angeimalizia hii story ili tununue story zingine angepungukiwa nini?
nataka leo msilale
mama facebook hana story moja hanazo nyingi sana so anamaanisha hizo nyingine itabidi ahandae kitabu ili guvu zake ziweze kumfaidisha kwani hapo kafanya vibaya.
Nahisi wewe ndio umejichanganya, pasipo mimi unadhani ungeisoma hiyo story au unaropoka tu, unatambua hatimiliki ya hiyo story nikiamua kumchukulia hatua aliye ipost huku, unadhani anaweza kufurukuta katika sheria, kama hujui chanzo cha kitu wewe kaunsha