Ulivoanza ulikuwa ukitupia tano kwa wakati Mmoja tangia umepata sifa ndio basi tena mpaka umbelezwe
Nyie subirini tu! Mara hii eddy ataibukia Iraq akipambana na magaid Wa ISS.halafu mwisho kabisa atakuja nchini na kupewa uwaziri Wa ulinzi
Hahahahaha na sheila naibu waziri