Hot talk na Heaven on Earth live

at world cup level!!!.. lara 1 is neither of the three....thats overhyped....
may be atmost....Bosnia and Herzegovina....and the rest of her disciples` calibre are just ZAIRE(1974),Malta,San Marino and the likes....
Mkubwa lugha ya Malkia siiwezi, ila kama nimekuelewa vizuri unasema nimempaisha sana lara 1 kumfananisha na timu za hizo nchi kwenye kombe la dunia. Lakini kumbuka kwamba kila mtu anamtazamo wake kwenye kila jambo na huwezijua kwa upande wangu ni kwa nini nimesema hivyo, wakati huo huo sikatai wewe kuendelea na msimamo wako kwa sababu na wewe una sababu au vigezo vyako.

Mimi nilipokua nafuatilia mtanange huu, kwa kweli nimekua nikicheka sana kila nnaposoma comment zake, sasa kama ameweza kunifanya nikacheka na kufurahi, what else do I need from her? ukizingatia tunafahamiana kwa maandishi tu?
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaaa Lara ur sooo funny yaani hapa nasoma comments zako na Tyta nacheka saaana LOL, huo ubuyu weka kwenye files zako kwa matumizi ya baadae.

Wanaaoona its boring sijawaelewa.. the conv is good kama unafatilia mazungumzo mwanzo mwisho.


Why dont you SAY SOMETHING NICE TO MY PAL Tyta here! Anything nice, soothing, fragile, that will make him have a good afternoon! MAYBE WRITE HIM A POEM OR SOMETHING!:wave: PLEASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE! The boy has HOTS for you! Aaaaaaaaaaaaaaaw! Usiniangushe HOE! Dont ruin the mood love is on the air! Tyta you can thank me later. (For once we can forget your struggle for a better world for everybody. we concentrate on getting you any!😛ray2:😛ray2:😛ray2:😛ray2:😛ray2::mwaaah::mwaaah::mwaaah::mwaaah🙂
 
Last edited by a moderator:

.....now I see you are running out of gasoline...like guerrilla fighter...you ambush/counter attack and retreat to the bush...
my point is...you tryn to diverge from main agenda...for self motives and intention....falsifying to the public with such allegations...
addressing the issue you popped : ...no criminality committed even if ''the crush thing'' existed....now you wanna bring V.D to scare the ---- out of me????!!!!....HECK NO.......!!!!
 
You squirt girl?
Oooooh!!! You must be hot in there......
You must be sexy to have you on bed.....
You must be romantic on your own.........
Hahaha nimeamua kuchokoza tu.

Kumekucha jamani! Sabato ishaingia maana jua ndo lilishazama
 

HAHAHAAAAAAAAA! OUR WAR WILL NEVER END! And i aint tryin to diverge shit, i just thought this war can spare you lie 15minute to take care of other issues in life GENERAL, especially when the girl you like is under your nose.

STILL NOT DENYING SHIT PUBLICLY! Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaw! Its getting better and better! :evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil:
 
TOO SHY TO ADMIT AND TOO ASHAMED TO DENY IT PUBLICLY! Aaaaaaaaaaawwwwwwwww! So far so good for me! :behindsofa:

hahhaha..your train of thought's been derailed....
..not everyone do it for the females...
..some of us do it for all to tell..
 

“....Kumcha Bwana ndiyo hekima, na kujitenga na uovu ndio ufahamu...”
....neither of us is a saint however.........
 
Usiniambie E HAD YOU FOOLED! Ushawahi kumuona nakosea spelling, syntax au grammar hata mara moja.? I bet yupo UK. Tena anasoma chuo cha maana! Maybe just my speculations.
...no facts no right to utter...nipo bongo naungua jua...nagombea daladala.....and all sorts of misoto like the rest of the population encounter....my life is not in the fastlane like yours....
 
STILL NOT DENYING SHIT PUBLICLY! Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaw! Its getting better and better! :evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil:

..you deserve diplomatic replies to leave you with conspiracy theories...luckily SHe is smart enough not to fall into this trap...What a love triangle theory you formulated.!!!..smart @$$...
 
ITS A FREE COUNTRY! Mmeambiwa changieni toka Jana hamtaki kuchangia na hamtaki Lara 1 achangie. ALIE BOREKA ANYE BOGA

Sijui ni kwanini unapenda kukurupuka sana ......

Hujui hata kilichonifanya niandike hayo,wewe unakuja huko na kuandika uyajuayo,hivi unadhani kila mtu anavutiwa na namna yako ya kurukia rukia mambo?

Hii style yako ya kuropoka kwangu haina nafasi,jua hilo kuanzia leo ...

Kwanini usijifunze kuwa na staha na subira?

Nchi huru kwa wenye kufikiri kwa usahihi ni njema sana laki ni ni maangamizo kwa wau ambao wamezoea kukurupuka tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…