The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Mkubwa lugha ya Malkia siiwezi, ila kama nimekuelewa vizuri unasema nimempaisha sana lara 1 kumfananisha na timu za hizo nchi kwenye kombe la dunia. Lakini kumbuka kwamba kila mtu anamtazamo wake kwenye kila jambo na huwezijua kwa upande wangu ni kwa nini nimesema hivyo, wakati huo huo sikatai wewe kuendelea na msimamo wako kwa sababu na wewe una sababu au vigezo vyako.at world cup level!!!.. lara 1 is neither of the three....thats overhyped....
may be atmost....Bosnia and Herzegovina....and the rest of her disciples` calibre are just ZAIRE(1974),Malta,San Marino and the likes....
Mimi nilipokua nafuatilia mtanange huu, kwa kweli nimekua nikicheka sana kila nnaposoma comment zake, sasa kama ameweza kunifanya nikacheka na kufurahi, what else do I need from her? ukizingatia tunafahamiana kwa maandishi tu?
Last edited by a moderator: