Hot talk na Heaven on Earth live


Mod muweke kitufe cha kupigia makofi,HOE congrats for this response!
 
ITS A FREE COUNTRY! Mmeambiwa changieni toka Jana hamtaki kuchangia na hamtaki Lara 1 achangie. ALIE BOREKA ANYE BOGA

Hahahahahaa....cheee...afanyeje??? Yan nimecheka hadi machozi
 
“....Kumcha Bwana ndiyo hekima, na kujitenga na uovu ndio ufahamu...”
....neither of us is a saint however.........

Inategemea unaichukuliaje JF mkuu, kwa hiyo ulitaka Watu wote wakubaliane na mtazamo wako juu ya lara 1? Hapana, natofautiana nae katika mambo mengi sana kimtazamo ila haimaanishi nikisoma comment Yale nikacheka nisiseme. Siichukulii JF Sirias sana.
 
Last edited by a moderator:
Inategemea unaichukuliaje JF mkuu, kwa hiyo ulitaka Watu wote wakubaliane na mtazamo wako juu ya lara 1? Hapana, natofautiana nae katika mambo mengi sana kimtazamo ila haimaanishi nikisoma comment Yale nikacheka nisiseme. Siichukulii JF Sirias sana.

...my standing on her is ambiguous.....your signature was just a ''nota bene''..besides..to avoid more controversy put the highlighted red into action....
 
..of course your "stick thing" incident..top them all...

Stick thing? im not sure what you mean, but i can assure myself it aint a compliment either! For a religious man like you i cant hope for the worst can i?
 
Inategemea unaichukuliaje JF mkuu, kwa hiyo ulitaka Watu wote wakubaliane na mtazamo wako juu ya lara 1? Hapana, natofautiana nae katika mambo mengi sana kimtazamo ila haimaanishi nikisoma comment Yale nikacheka nisiseme. Siichukulii JF Sirias sana.

Tell him! Tyta YOU HEARDDDDDDDDDDDDDDDDDD!!!!!!!!!!!
 

Hahahaa haaaa uwiii
Umenichekesha sn
 
...my standing on her is ambiguous.....your signature was just a ''nota bene''..besides..to avoid more controversy put the highlighted red into action....

Noted Sir. Mbona siku hizi hauweki picha? Natania mkuu. Hata hivyo kwa jinsi Heaven on Earth alivyojibu maswali amenifanya na Mimi ni Mpende, nikiendelea hapo tena nafikiri ntaongeza uadui...nimekuelewa japo kwa mbali kutokana na LUGHA.
 
Last edited by a moderator:
...last time you what?!!..that was way back in ancient greek era...revive your sense...and get back to reality....
The last time i checked the bible did not say THOU SHALL NOT HAVE ECSTASY NOR DID IT SAY FANCYING THOU IS A SIN! Well matter of fact not so long ago! Maybe couple of decades give or take.:smile-big:
 
Noted Sir. Mbona siku hizi hauweki picha? Natania mkuu. Hata hivyo kwa jinsi Heaven on Earth alivyojibu maswali amenifanya na Mimi ni Mpende, nikiendelea hapo tena nafikiri ntaongeza uadui...nimekuelewa japo kwa mbali kutokana na LUGHA.

Ulimtaja HOE kijana hakawii kuja na mapanga huyu! Hahahaaaaaaaaaaa! Ujanja wote kiboko yake HOE. Nimeamii EVERYBODY HAS A PRICE! Mwenzio hajampendea kujibu hapa, WORD ON THE STREET IS HE HAS HAD A CRUSH ON HER AS LONG AS HE CAN REMEMBER!:evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil:
 
Stick thing? im not sure what you mean, but i can assure myself it aint a compliment either! For a religious man like you i cant hope for the worst can i?

Because you hv been overpowered by some of the "heavy missiles" landed on you..get back to post #246 ...
 
The last time i checked the bible did not say THOU SHALL NOT HAVE ECSTASY NOR DID IT SAY FANCYING THOU IS A SIN! Well matter of fact not so long ago! Maybe couple of decades give or take.:smile-big:

..heheh..interpret it to suit your needs. ..
 
Because you hv been overpowered by some of the "heavy missiles" landed on you..get back to post #246 ...

Me! OVERPOWERED? You wish! Dont be so dramatic! Not a chance! Not in a million years. Post 246 was about ignore button! Never said anything abt bein over powered!
 
Me! OVERPOWERED? You wish! Dont be so dramatic! Not a chance! Not in a million years. Post 246 was about ignore button! Never said anything abt bein over powered!

..arithmetic is really a national disaster. ..#246 ??...
 

....wa ncha ya upanga mnajulikana tu...usharishari thoughts at its peak...
..living by rumour right now aint suitable for you ..old blood..
 
Utakuwa mgonjwa wa akili si bure. utakuwaje kama mende mwili wooote we ukimbilie chooni? Ptuuh mbaka sia

Wengine kuzama chumvini tunainjoi ilimradi uwe msafi , hakuna cha kujikaza wala nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…