Hot topic: Uvaaji wa suruali za kitambaa

Kwa uelewa wangu mdogo wa maswala ya fasheni


Kiatu na mkanda vinatakiwa kuwa rangi moja.


Black kwa black au kama ni brown kwa brown.

Otherwise ficha mkanda.(usichomekee)


Waweza kwenda mbali zaidi na rangi ya mkanda wa saa kama ni wa ngozi.
 
Uliyoandika nasema upo sahihi kwa mtazamo wangu.

Ila ikiwa hiyo picha ndiyo ulichozungumza si sawa.

1.Kiatu ulichovaa ni black wakati huo mkanda ni brown (Vinapaswa viwe na rangi moja)

2.Suruali ina lux (kama nimekosea nirekebishe) kubwa wakati mkanda ulionao ni mdogo hivyo inafanya mkanda kupanda juu ya lux hii haitakiwi.

3.Aina ya kitambaa ulichochagu (Hapa nisiseme sana tunatofautiana).

4.Aina ya saa uliyovaa haendani na namna ulivyovaa.

NB....Kiatu ulichovaa ni kizuri ila umekishusha hadhi kukivalia nguo zisizoendana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…