Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,520
- 1,504
Ipo tuwasiliane 075 876 6796Husika na kichwa hapo juu! Kwa wenyeji wa Mbagala Dare es salaam, naomba msaada wa kupata huduma tajwa hapo juu ya kulala kwa gharama ya chini ya 100,000 kwa siku, isizidi 100,000/= location ilipo na mawasiliano ni muhimu
Kijichi pia ipo moja ya kishua.Huko unatafuta kupigwa chabo mixer kuibiwa simu kupitia dirisha.
Wewe uko zako unakoleza tako, vijana wanakuchungulia huku wakivuta suruali yake.
Nenda Royal Giraffe, Temeke.
HahahahahaHuko unatafuta kupigwa chabo mixer kuibiwa simu kupitia dirisha.
Wewe uko zako unakoleza tako, vijana wanakuchungulia huku wakivuta suruali yako.
Nenda Royal Giraffe, Temeke.
Nipe namba zako unielekeze vizuri,maana sio mbali sana Kijichi na MbagalaKijichi pia ipo moja ya kishua.
Kijichi ni ushuani jqpo ni mixed grill ya uswazi pia.Kijichi pia ipo moja ya kishua.