asante kwa post nzuri na thanks nimekupata ! angalau inaonekana kama ................
JE HILO LIHOTELI LENYEWE PIA WAKIONDOKA KURUDI KWAO WATARUDI NALO AU LITABAKI BONGO ? KAMA WAKIONDOKA NALI NITAAMINI UNACHOSEMA !
.......
JE HILO LIHOTELI LENYEWE PIA WAKIONDOKA KURUDI KWAO WATARUDI NALO AU LITABAKI BONGO ? KAMA WAKIONDOKA NALI NITAAMINI UNACHOSEMA !
UJUMBE: Ni vema kuwa mtazamo wa mustakabali wa Danganyika. Tuachane na utumwa wa vyama. Vizazi vitatuhukumu kwa kutotimiza utume wetu.
oohuuu ooohuu, hii sasa ni so, kada pigana hapo usikubali!Kada, kuna mambo mengine ambayo kusimamia kwake kidete ni kulala chali au kukaa chini.
JE HILO LIHOTELI LENYEWE PIA WAKIONDOKA KURUDI KWAO WATARUDI NALO AU LITABAKI BONGO ? KAMA WAKIONDOKA NALI NITAAMINI UNACHOSEMA !
Kadampinjani leo majimazito bin ngomanjito....naona mafataki leo yanakuja kila kona utajiju.asante kwa post nzuri na thanks nimekupata ! angalau inaonekana kama ................
JE HILO LIHOTELI LENYEWE PIA WAKIONDOKA KURUDI KWAO WATARUDI NALO AU LITABAKI BONGO ? KAMA WAKIONDOKA NALI NITAAMINI UNACHOSEMA !
Kada yaani ndiyo kusema hadi sasa inakimbilia miongo miwili tangu hiyo hotel ianze kazi lakini bado iko ktk tax-holiday. Je hiyo ni kweli? au ni uongo? naomba hoja yako KM
Kada, kuna mambo mengine ambayo kusimamia kwake kidete ni kulala chali au kukaa chini. Siyo lazima kwa kuwa Kadampinzani uhariibu fikra, heshima na busara kutetea kidete ubadhilifu. Ni aghali sana kuwadandganya wajinga walioanza au waliokwisha elevuka. Kwa mfano hapa JF kutetea upuuzi ni kujidhalilisha japo pia wadumuzaa fikra zako na si za wengine.Suala la kwamba je wataondoka nayo si la msingi kutetea matumizi mabaya ya Tax Holiday scheme. Natumaini Kada uko tayari "Move n Pick" management nao wafanye kama Sea Cliff. Muda wa Tax Holiday ukiisha zamu hii wasibadili jina bali wachome na kufile Insurence claim! Ilimradi tu jengo linabaki Danganyika.
UJUMBE: Ni vema kuwa mtazamo wa mustakabali wa Danganyika. Tuachane na utumwa wa vyama. Vizazi vitatuhukumu kwa kutotimiza utume wetu.
Ujumbe murua kabisa huo ndugu yangu
Kada Mpinzani badala ya kuijengea hoja misimamo yake, yeye anaendelea kuionyesha tu kavu kavu, kada "Emancipate yourself from mental slavery none but yourself can free your mind".Stand on the truth, dont let the truth stand on you, it is too heavy and you can not lift it pal!
kitila unamshauri kada apigane nini? hapo hakuna cha kupigana maana kwa kweli anapinga vitu labda apate taarifa za busara!! kila nikimsoma kada namkumbuka rafiki yangu mmoja pale udsm ambaye alikuwa ni muajiriwa wa TISS(nyie mnaiita idara ya usalama wa taifa). yeye kazi yake ilikuwa kuchokoza mada na kukaa kimya ili apate kitu cha kuweKA kwenye ripoti zake za wiki kwa wakuu wa pale kijitonyama!! hoping kitila atakuwa anwakumbuka sana watu wa nanmna hiyo maana hata daruso walikuwepo.
ndugu kada!! kutetea kitu kwa hoja ni vizuri ila kuwa kama amos makala wa uvccm amabye likisemwa neno anareact na press release halafu hatuelzezi ni nini anachokipinga bali anatupa blank denials!!
sawa mie slave ! Lakini ukitaka kujua kati ya mimi na wewe nani slave, nitakwambia ! Wewe ndio slave wa mawazo maana maneno yako hayo yanasound vizuri lakini i guarantee you hujafikiria wewe mwenyewe,umetumia mawazo ya mtu mwingine tena kwa vyovyote vile huyo mtu atakuwa mzungu. Sasa hii inanifanya niamini waafrika kweli ./............... ! Kweli si kweli ??
Ama kweli wewe ni kada, nakumbuka nilishakuambia waweza pinga hata bowel movements zako(i mean haja)
wanabadili jina tu au wanabadili na menejimenti.... ?