Nenda pooooteee usije kwenda kkoo hotel inaitwa FLORIDA ipo mtaa wa Kongo na omary Londo lloh nilichajiwA 60000/= hotel ya hovyo maji ya chumvi vyumba vidogo hakuna hata kabati wala henga nlijutia sanaa 60k yangu nikakumbuka lodge za twenty za sinza full utulivu @#$&**&%###% pumbavu kabisa