Dodoma zipo nyingi izo ni bahadhi tuWakuu nitakuwa na safari ya kwenda Dodoma, naomba wanajua maeneo hayo au kama uliwahi kufikia maeneo ya UDOM wa nisaidie majina ya hotel na ukijua bei zao utakuwa imenisaidia sana.
Wakati wa interview na kufunguliwa kwa vyuo una karibia...Waache watoto wa watu wasome watimize malengo yao
... ameuliza "hotel nzuri karibu na UDOM"; pana neno KARIBU kwenye hoja yake ya msingi.Dodoma zipo nyingi izo ni bahadhi tu View attachment 2390014View attachment 2390016
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app