Pentagon Palace Hotel (2001) nyuma ya Tanga UWASA.
Me niliipenda iko affordable, choo kisafi, kitanda kizuri, hot n cold water, kuna chai ya bure, AC na fen, na TV.
Parking ni nje kwahiyo kwa wachepukaji sio nzuri maana mtu akipita analiona gari lako. Ila ulinzi upo.
Nyinda, Mtendele,Dolphin wewe Google zipo nyingi.
Ahsante
Unaweza kuwa na No. zao?
cheki picha za hapo juu kuna moja ina kipeperushi chao kina namba za simu.